Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
lakini nilifadhaika sana kwa kutomkuta ndugu yetu tito. ndiyo maana niliwaaga wote pale nikaenda makedonia.
i had no rest in my spirit, because i found not titus my brother: but taking my leave of them, i went from thence into macedonia.
kwa sababu hiyo, tulimsihi tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu.
insomuch that we desired titus, that as he had begun, so he would also finish in you the same grace also.
dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake thesalonike. kreske amekwenda galatia, na tito amekwenda dalmatia.
for demas hath forsaken me, having loved this present world, and is departed unto thessalonica; crescens to galatia, titus unto dalmatia.
ndiyo maana sisi tulifarijika sana. siyo kwamba tulifarijika tu, ila pia tito alitufurahisha kwa furaha aliyokuwa nayo kutokana na jinsi mlivyomchangamsha moyo.
therefore we were comforted in your comfort: yea, and exceedingly the more joyed we for the joy of titus, because his spirit was refreshed by you all.
mimi nimewasifu sana mbele yake, na katika jambo hilo sikudanganyika. tumewaambieni ukweli daima, na kule kuwasifia ninyi mbele ya tito kumekuwa jambo la ukweli mtupu.
for if i have boasted any thing to him of you, i am not ashamed; but as we spake all things to you in truth, even so our boasting, which i made before titus, is found a truth.
uganda imewahi kuwa namarais nane tangu uhuru, kwa majina, mfalme edward muteesa ii, apollo milton obote, idi amin dada, yusuf kironde lule, godfrey lukongwa binayiisa, paulo muwanga, tito okello lutwa, na rais wa sasa yoweri kaguta museveni.
uganda has had eight presidents since independence, namely, king sir edward muteesa ii, apollo milton obote, idi amin dada, yusuf kironde lule, godfrey lukongwa binayiisa, paulo muwanga, tito okello lutwa, and the current president yoweri kaguta museveni.