From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
and when we had launched from thence, we sailed under cyprus, because the winds were contrary.
kutoka huko tuliendelea na safari, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa cha kupro ambapo upepo haukuwa mwingi.
so they, being sent forth by the holy ghost, departed unto seleucia; and from thence they sailed to cyprus.
basi, barnaba na saulo walipokwisha tumwa na roho mtakatifu, walishuka hadi seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha kupro.
and some of them were men of cyprus and cyrene, which, when they were come to antioch, spake unto the grecians, preaching the lord jesus.
lakini baadhi ya waumini waliotoka kupro na kurene, walikwenda antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile habari njema juu ya bwana yesu.
and the contention was so sharp between them, that they departed asunder one from the other: and so barnabas took mark, and sailed unto cyprus;
basi kukatokea ubishi mkali kati yao, na wakaachana. barnaba akamchukua marko, wakapanda meli kwenda kupro.
now when we had discovered cyprus, we left it on the left hand, and sailed into syria, and landed at tyre: for there the ship was to unlade her burden.
baada ya kufika mahali ambapo tuliweza kuona kupro, tulipitia upande wake wa kusini tukaelekea siria. tulitia nanga katika mji wa tiro ambapo ile meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake.
and joses, who by the apostles was surnamed barnabas, (which is, being interpreted, the son of consolation,) a levite, and of the country of cyprus,
kulikuwa na mlawi mmoja, mzaliwa wa kupro, jina lake yosefu, ambaye mitume walimwita jina barnaba (maana yake, "mtu mwenye kutia moyo").