From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ivory coast
pwani ya pembe za ndovu de
Last Update: 2024-03-15
Usage Frequency: 1
Quality:
ivory
kikembe cha ndovu
Last Update: 2021-09-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
and the coast
n'gombe
Last Update: 2020-11-09
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
page 2 of a senegalese daily containing an article about the crisis in the ivory coast- public domain
ukurasa wa 2 wa gazeti la kila siku la senegali likiwa na makala kuhusu mgogoro wa ivory coast- wazi kwa matumizi ya umma
ivory coast is a country struggling to recover after a bloody civil war that resulted in ten of thousands dead and hundreds of thousands displaced between 2002 and 2007.
kodivaa ni nchi inayojikakamua kupata nafuu baada ya vita vikali vya wenyewe kwa wenyewe vilivyoua makumi ya maelfu ya watu na kuwahamisha malaki ya watu kutoka kwenye makazi yao kati ya mwaka 2002 na mwaka 2007.
at least 33 people have been reported dead and scores displaced across the east coast.
watu wasiopungua 33 inaelezwa kuwa wamepoteza maisha na idadi kubwa ya watu wameachwa bila makazi katika maeneo mbalimbali ya pwani ya mashariki.
but first we want you to sign our petition asking the hong kong government to crush and burn the stockpile of ivory.
lakini kwanza tunakutaka wewe kusaini tamko letu kuiomba serikali ya hong kong kuteketeza shehena ya pembe za ndovu.
ivory coast, located in west africa, with a gdp of 19 million euros and a per capita of 967 euros is the third poorest country that takes part in the world cup, after honduras and bosnia.
kodivaa, nchi iliyoko afrika magharibi yenye pato la nchi la euro milioni 19 na wastani wa euro 967 kwa kila mkodivaa, ni nchi maskini zaidi kati ya nchi zinazoshiriki kwenye mashindano hayo, baada ya honduras na bosnia.
during the height of the crisis in the ivory coast, the walfadjiri-l'aurore ran the headline "senegalese repatriated from the ivory coast take it out on wade":
wakati mgogoro wa ivory coast ukiwa uko katika joto lake, jarida la walfadjiri-l'aurore lilikuwa na kichwa cha habari "wa-senegali wametimuliwa kutoka ivory coast wamalaumu wade":
as the coalition explained, destroying the stockpiles is only a start, their mission is to ban the domestic ivory trade:
kwa mujibu wa ushirikiano huo, kutekelezwa kwa shehena hiyo ni mwanzo tu, lengo lao ni kupigwa marufuku biashara ya pembe za ndovu:
a group known as the kenya elephant forum is leading the kenyan civil society in the protest against ivory trade resumption and have produced fact sheets on the issue.
kikundi kinachojulikana kama jukwaa la ndovu kenya kinaongoza jamii ya kiraia ya kenya katika upinzani dhidi ya biashraa ya pembe za ndovu na yameandaa maelezo muhimu kuhusu suala hilo.