From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
niin on myös kuolleitten ylösnousemus: kylvetään katoavaisuudessa, nousee katoamattomuudessa;
ndivyo ilivyo kuhusu ufufuo wa wafu. kama vile mbegu, mwili huzikwa ardhini ukiwa katika hali ya kuharibika, lakini hufufuliwa katika hali ya kutoharibika.
sillä koska kuolema on tullut ihmisen kautta, niin on myöskin kuolleitten ylösnousemus tullut ihmisen kautta.
maana kama vile kifo kilivyoletwa duniani na mtu mmoja, vivyo hivyo nako kufufuka kutoka wafu kumesababishwa na mtu mmoja.
jotka ovat totuudesta eksyneet, kun sanovat, että ylösnousemus jo on tapahtunut, ja he turmelevat useiden uskon.
hawa wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu wengine katika wasiwasi kwa kusema ati ufufuo wetu umekwisha fanyika.
jeesus sanoi hänelle: "minä olen ylösnousemus ja elämä; joka uskoo minuun, se elää, vaikka olisi kuollut.
yesu akamwambia, "mimi ndimi ufufuo na uzima. anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi:
että nimittäin kristuksen piti kärsimän ja kuolleitten ylösnousemuksen esikoisena julistaman valkeutta sekä tälle kansalle että pakanoille."
yaani ilimpasa kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, wayahudi na pia watu wa mataifa mengine."