Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
d'où cette interdiction.
kwa hiyo, zimefungwa.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
l'interdiction française de la burka : un clash culturel dévoilé
kupigwa marufuku burqa huko ufaransa: mgongano wa kiutamaduni wafunuliwa
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
stunner's afflictions présente lui aussi son opinion sur cette interdiction .
mwanablogu stunner’s afflictions pia anafafanua mawazo yake kuhusu amri hiyo.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
l'interdiction de la burqua a à voir avec nos peurs, pas avec leur oppression
kupiga marufuku burqa kunatokana na hofu zetu na si ukandamizaji wao
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
il est actuellement en attente d'un nouveau procès et soumis à une interdiction de voyager.
kwa sasa anasubiri kushitakiwa na haruhusiwi kusafiri.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
la dernière interdiction des sites web n'est pas vraiment un "blocage" des sites web.
tovuti za habari zinazofungwa si tovuti za kweli na 'hazifungwi".
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
alors pourquoi ont-ils attendu la levée de bouclier et la pression du public pour procéder à cette interdiction?
hivyo kwa nini walingojea mpaka umma ulipopiga kelele na kutia shinikizo ili wachukue hatua za kuzuia mambo kama hayo?
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
cette initiative arrive un an après la dernière tentative d'interdiction de l'avortement par les législateurs ukrainiens.
hatua hii inakuja mwaka mmoja tu tangu bunge la ukraine lilipojaribu na kushindwa kuzuia utoaji mimba.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
elles ont rapidement été entourées de plus de 30 voitures de police , leur chauffeur a été arrêté et elles ont eu l'interdiction de bouger.
haukupita muda, walizingirwa na zaidi ya magari 30 ya polisi , na na kisha dereva wao kutiwa nguvuni na wote walizuiwa kuondoka.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
depuis que la france a proposé une loi sur l'interdiction de la burka dans les lieux publics, le sujet trouble aussi la blogosphère australienne.
tangu mapendekezo ya kupiga marufuku uvaaji wa burqa au hijab huko ufaransa, suala hilo limekuwa likitokota katika ulimwengu wa bloghu wa australia.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
cette discussion ne fait que commencer, puisque l'interdiction ne date que de dix jours et que l'on attend encore sa complète application et ses résultats.
mjadala huu bado unaendelea kwani amri ya kuzuia ina siku 10 tu, na utekelezaji pamoja na madhara yake bado hayajaonekana.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
des journalistes, des téléspectateurs, des entraîneurs ainsi que des joueurs étrangers ont demandé l'interdiction de l'instrument lors de la coupe du monde 2010 qui se déroulera en afrique du sud.
waandishi wa habari, watazamaji wa televisheni, makocha na baadhi ya wachezaji wa kigeni walitoa wito wa kusitisha matumizi ya kifaa hiki katika kombe la dunia la 2010 nchini afrika kusini.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
toutefois, l'inde est considérée comme le pays le plus grand exportateur de ce minerai, malgré l'interdiction partielle du gouvernement tanzanien de l'exporter.
hata hivyo, india inafahamika kama mwuuzaji mkuu wa madini hayo pamoja na zuio la serikali ya tanzania dhidi ya uuzaji wa madini hayo nje.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
(billet d'origine publié le 4 mai) les militants du hifazat-e islam , un parti islamiste radical du bangladesh, ont attaqué les femmes journalistes envoyées suivre un défilé du parti dans la capitale du pays pour exiger l'application stricte de la loi islamique, y compris l'interdiction de la mixité et la répression des "athées et des blogueurs blasphémateurs".
wanachama wa kikundi cha kiislamu nchini bangladesh hifazat-e islam, waliwashambulia waandishi habari wanawake wakati walipokuwa wakifanya matembezi ya umbali mrefu katika mji mkuu dhaka kushinikiza sheria kali za kiislam , ikiwa ni pamoja na kuzuia watu wa jinsia tofauti kuchanganyikana pamoja na kupinga adhabu ya “wanablogu waliodaiwa kuonesha kutoamini uwepo wa mungu na kukashifu dini”.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting