From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
car ils ne supportaient pas cette déclaration: si même une bête touche la montagne, elle sera lapidée.
kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: "atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe."
jusqu'en novembre de cette année, 20 jeunes filles et femmes aborigènes avaient été violées dans trois districts de la montagne.
mpaka mwezi wa novemba mwaka jana, wasichana na wanawake 20 wazawa walibakwa katika wilaya tatu za mlimani.
les images d'actualité montrent des panaches de fumée et des nuages de cendres, et un refuge de montagne au sommet de la montagne couvert de cendres grises.
habari za tukio hilo zinaonesha wingu zito la majivu, na sehemu ya juu kwenye kilele cha mlima huo ikiwa imefunikiwa na tope zito la kijivu.
si nous avions fait descendre ce coran sur une montagne, tu l'aurais vu s'humilier et se fendre par crainte d'allah.
lau kuwa tumeiteremsha hii qur'ani juu ya mlima, basi bila ya shaka ungeli uona ukinyenyekea, ukipasuka kwa khofu ya mwenyezi mungu.
femme, lui dit jésus, crois-moi, l`heure vient où ce ne sera ni sur cette montagne ni à jérusalem que vous adorerez le père.
yesu akamwambia, "niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu baba juu ya mlima huu, wala kule yerusalemu.
lorsqu`ils approchèrent de jérusalem, et qu`ils furent près de bethphagé et de béthanie, vers la montagne des oliviers, jésus envoya deux de ses disciples,
walipokuwa wanakaribia yerusalemu walifika bethfage na bethania, karibu na mlima wa mizeituni. hapo aliwatuma wawili wa wanafunzi wake,