From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
philippus aber ward gefunden zu asdod und wandelte umher und predigte allen städten das evangelium, bis daß er kam gen cäsarea.
filipo akajikuta yuko azoto, akapita katika miji yote akihubiri habari njema mpaka alipofika kaisarea.
da sie aber den predigten des philippus glaubten vom reich gottes und von dem namen jesu christi, ließen sich taufen männer und weiber.
lakini walipouamini ujumbe wa filipo juu ya habari njema ya ufalme wa mungu na jina la yesu kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume.
philippus antwortete ihm: für zweihundert groschen brot ist nicht genug unter sie, daß ein jeglicher unter ihnen ein wenig nehme.
filipo akamjibu, "mikate ya denari mia mbili za fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila mmoja atapata kipande kidogo tu!"
die traten zu philippus, der von bethsaida aus galiläa war, baten ihn und sprachen: herr, wir wollten jesum gerne sehen.
hao walimwendea filipo, mwenyeji wa bethsaida katika galilaya, wakasema, "mheshimiwa, tunataka kumwona yesu."
da lief philippus hinzu und hörte, daß er den propheten jesaja las, und sprach: verstehst du auch, was du liesest?
filipo akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii isaya. hapo filipo akamwuliza, "je, unaelewa hayo unayosoma?"
da sie aber heraufstiegen aus dem wasser, rückte der geist des herrn philippus hinweg, und der kämmerer sah ihn nicht mehr; er zog aber seine straße fröhlich.
walipotoka majini roho wa bwana akamfanya filipo atoweke. na huyo mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
aber der engel des herrn redete zu philippus und sprach: stehe auf und gehe gegen mittag auf die straße, die von jerusalem geht hinab gen gaza, die da wüst ist.
malaika wa bwana alimwambia filipo, "jitayarishe uende kusini kupitia njia inayotoka yerusalemu kwenda gaza." (njia hiyo hupita jangwani.)
nathanael spricht zu ihm: woher kennst du mich? jesus antwortete und sprach zu ihm: ehe denn dich philippus rief, da du unter dem feigenbaum warst, sah ich dich.
naye nathanieli akamwuliza, "umepataje kunijua?" yesu akamwambia, "ulipokuwa chini ya mtini hata kabla filipo hajakuita, nilikuona."
jesus spricht zu ihm: so lange bin ich bei euch, und du kennst mich nicht, philippus? wer mich sieht, der sieht den vater; wie sprichst du denn: zeige uns den vater?
yesu akamwambia, "filipo, nimekaa nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? aliyekwisha niona mimi amemwona baba. unawezaje basi, kusema: tuonyeshe baba?