From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
guardate israele secondo la carne: quelli che mangiano le vittime sacrificali non sono forse in comunione con l'altare
chukueni, kwa mfano, wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa madhabahuni waliungana na hiyo madhabahu.
il sesto angelo suonò la tromba. allora udii una voce dai lati dell'altare d'oro che si trova dinanzi a dio
kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya mungu.
abramo, nostro padre, non fu forse giustificato per le opere, quando offrì isacco, suo figlio, sull'altare
je, abrahamu baba yetu alipataje kukubalika mbele yake mungu? kwa matendo yake, wakati alipomtoa mwanae isaka sadaka juu ya madhabahu.
dal sangue di abele fino al sangue di zaccaria, che fu ucciso tra l'altare e il santuario. sì, vi dico, ne sarà chiesto conto a questa generazione
tangu kumwagwa damu ya abeli mpaka kifo cha zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. naam, hakika kizazi hiki kitaadhibiwa kwa matendo haya.
e dite ancora: se si giura per l'altare non vale, ma se si giura per l'offerta che vi sta sopra, si resta obbligati
tena mwasema ati mtu akiapa kwa madhabahu si kitu; lakini akiapa kwa zawadi iliyowekwa juu ya madhabahu, kiapo hicho humshika.
perché ricada su di voi tutto il sangue innocente versato sopra la terra, dal sangue del giusto abele fino al sangue di zaccaria, figlio di barachìa, che avete ucciso tra il santuario e l'altare
hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. naam, tangu kuuawa kwa abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka kuuawa kwa zakariya, mwana wa barakia, ambaye mlimuua hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu.
quindi chiedo: dio non ha rigettato il suo popolo, vi pare? non sia mai! poiché anch’io sono israelita, del seme d’abraamo, della tribù di beniamino. dio non ha rigettato il suo popolo, che prima riconobbe. infatti, non sapete ciò che la scrittura dice riguardo a elia, quando egli supplica dio contro israele? “geova, hanno ucciso i tuoi profeti, hanno abbattuto i tuoi altari, e io solo sono rimasto, e cercano la mia anima”. ma che gli dice la dichiarazione divina? “ho lasciato rimanere per me settemila uomini, che non hanno piegato il ginocchio a baal”. in questo modo, perciò, anche al tempo presente si è trovato un rimanente secondo l’elezione dovuta all’immeritata benignità. ora se è per immeritata benignità, non è più dovuto alle opere; altrimenti, l’immeritata benignità non è più immeritata benignità.
basi, nauliza, je, mungu aliwakataa watu wake? hilo lisitendeke kamwe! kwa maana mimi pia ni mwisraeli, wa uzao wa abrahamu, wa kabila la benyamini. mungu hakuwakataa watu wake, aliowatambua kwanza. je, hamjui linavyosema andiko kumhusu eliya, anapomwomba mungu dhidi ya israeli? “yehova, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami peke yangu nimebaki, nao wanaitafuta nafsi yangu.” lakini, neno la mungu linamwambia nini? “nimebakiza watu elfu saba kwa ajili yangu mwenyewe, watu ambao hawakumpigia baali goti.” basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki kulingana na kuchaguliwa ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa. basi ikiwa ni kwa fadhili zisizostahiliwa, si kwa sababu ya matendo tena; kama sivyo, fadhili zisizostahiliwa haziwi tena fadhili zisizostahiliwa.
Last Update: 2013-03-07
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: