From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
mentre coloro le cui bilance saranno leggere, sono coloro che perderanno le anime, poiché hanno prevaricato sui nostri segni.
na watakao kuwa na uzani khafifu, basi hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao kwa sababu ya kuzipinga ishara zetu.
per conto mio mi prodigherò volentieri, anzi consumerò me stesso per le vostre anime. se io vi amo più intensamente, dovrei essere riamato di meno
mimi ni radhi kabisa kutumia nilicho nacho, na hata kujitolea mimi mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho zenu. je, mtanipenda kidogo ati kwa kuwa mimi nawapenda ninyi mno?
han gli occhi pieni di disonesti desideri e sono insaziabili di peccato, adescano le anime instabili, hanno il cuore rotto alla cupidigia, figli di maledizione
macho yao yamejaa uzinzi na uwezo wao wa kutenda dhambi hauna kikomo. huwaongoza watu walio dhaifu mpaka mitegoni. mioyo yao imezoea kuwa na tamaa ya mali. wapo chini ya laana ya mungu!
allah conosce quello che c'è nelle loro anime. [se dicessi ciò] certo sarei un ingiusto!”.
wala siwasemi wale ambao yanawadharau macho yenu kuwa mwenyezi mungu hatawapa kheri - mwenyezi mungu anajua yaliomo katika nafsi zao - hapo bila ya shaka ninge kuwa miongoni mwa wenye kudhulumu.
circoleranno tra loro vassoi d'oro e calici, e colà ci sarà quel che desiderano le anime e la delizia degli occhi - e vi rimarrete in perpetuo.
watakuwa wanapitishiwa sahani za dhahabu na vikombe; na vitakuwamo ambavyo nafsi zinavipenda na macho yanavifurahia, na nyinyi mtakaa humo milele.
quando l'agnello aprì il quinto sigillo, vidi sotto l'altare le anime di coloro che furono immolati a causa della parola di dio e della testimonianza che gli avevano resa
kisha mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.
se vedessi gli ingiusti, negli spasimi della morte, quando gli angeli stenderanno le mani su di loro [e diranno]: “rigettate le vostre anime!
na lau ungeli waona madhaalimu wanavyo kuwa katika mahangaiko ya mauti, na malaika wamewanyooshea mikono wakiwambia: zitoeni roho zenu!
e dio proseguì, dicendo: “brulichino le acque di un brulichio di anime viventi* e volino creature volatili sopra la terra sulla faccia della distesa dei cieli”. e dio creava* i grandi mostri marini e ogni anima vivente che si muove, di cui le acque brulicarono secondo le loro specie, e ogni alata creatura volatile secondo la sua specie. e dio vedeva che [era] buono. allora dio li benedisse, dicendo: “siate fecondi e moltiplicatevi e riempite le acque dei bacini dei mari, e le creature volatili si moltiplichino sulla terra”. e si faceva sera e si faceva mattina, un quinto giorno.
mungu akaendelea kusema: “maji na yajawe na nafsi hai na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.” mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini na kila nafsi hai inayotembea, wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake. kisha mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema. halafu mungu akawabariki, akisema: “zaeni, muwe wengi na kujaza maji yaliyo katika mabonde ya bahari, na viumbe vinavyoruka na viwe vingi duniani.” ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano
Last Update: 2013-03-02
Usage Frequency: 2
Quality:
Reference: