From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
poiché in cristo gesù non è la circoncisione che conta o la non circoncisione, ma la fede che opera per mezzo della carità
maana ikiwa tumeungana na kristo yesu, kutahiriwa au kutotahiriwa hakuna maana; cha maana ni imani ifanyayo kazi kwa mapendo.
infatti neanche gli stessi circoncisi osservano la legge, ma vogliono la vostra circoncisione per trarre vanto dalla vostra carne
maana, hao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki sheria; huwataka ninyi mtahiriwe wapate kujivunia alama hiyo mwilini mwenu.
vi sono infatti, soprattutto fra quelli che provengono dalla circoncisione, molti spiriti insubordinati, chiacchieroni e ingannatori della gente
maana, wako watu wengi, hasa wale walioongoka kutoka dini ya kiyahudi, ambao ni wakaidi, wanaowapotosha wengine kwa upumbavu wao.
come dunque gli fu accreditata? quando era circonciso o quando non lo era? non certo dopo la circoncisione, ma prima
je, abrahamu alikubaliwa kabla ya kutahiriwa ama baada ya kutahiriwa? kabla ya kutahiriwa, na si baada ya kutahiriwa.
la circoncisione è utile, sì, se osservi la legge; ma se trasgredisci la legge, con la tua circoncisione sei come uno non circonciso
kutahiriwa kwako kutakuwa na maana kama ukiitii sheria. lakini kama unaivunja sheria, basi, ni afadhali ungalibaki bila kutahiriwa.
e fosse padre anche dei circoncisi, di quelli che non solo hanno la circoncisione, ma camminano anche sulle orme della fede del nostro padre abramo prima della sua circoncisione
vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia ileile ya imani baba yetu abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa.
e così, chi non è circonciso fisicamente, ma osserva la legge, giudicherà te che, nonostante la lettera della legge e la circoncisione, sei un trasgressore della legge
watu wa mataifa mengine watakuhukumu wewe myahudi kama ukiivunja sheria, ingawaje unayo maandishi ya sheria na umetahiriwa, hali wao wanaitii sheria ingawa hawakutahiriwa.
e gli diede l'alleanza della circoncisione. e così abramo generò isacco e lo circoncise l'ottavo giorno e isacco generò giacobbe e giacobbe i dodici patriarchi
halafu mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano. hivyo, abrahamu alimtahiri mtoto wake isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa. na isaka, vivyo hivyo, alimtahiri yakobo. naye yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo.
infatti egli ricevette il segno della circoncisione quale sigillo della giustizia derivante dalla fede che aveva gia ottenuta quando non era ancora circonciso; questo perché fosse padre di tutti i non circoncisi che credono e perché anche a loro venisse accreditata la giustizi
abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba mungu alimkubali kuwa mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. kwa hiyo, abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa hawakutahiriwa, wamemwamini mungu, wakafanywa waadilifu.