From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
fatica
kazi
Last Update: 2013-12-15
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
non proveranno fatica alcuna e mai verranno espulsi.
humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
trasportano i vostri pesi verso contrade che non potreste raggiungere, se non con grande fatica.
na hubeba mizigo yenu kupeleka kwenye miji msiyo weza kuifikia ila kwa mashaka ya nafsi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
e così dicendo, riuscirono a fatica a far desistere la folla dall'offrire loro un sacrificio
ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
e costeggiandola a fatica giungemmo in una località chiamata buoni porti, vicino alla quale era la città di lasèa
tulipita kando yake polepole tukafika mahali paitwapo "bandari nzuri", karibu na mji wa lasea.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
già creammo i cieli, la terra e quel che vi è frammezzo in sei giorni, senza che ci cogliesse fatica alcuna.
na bila ya shaka sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao mnamo siku sita; na wala hayakutugusa machofu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
ecco, uno spirito lo afferra e subito egli grida, lo scuote ed egli dà schiuma e solo a fatica se ne allontana lasciandolo sfinito
pepo huwa anamshambulia, na mara humfanya apige kelele; humtia kifafa, na povu likamtoka kinywani. huendelea kumtesa sana, asimwache upesi.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
abbiamo ordinato all'uomo la bontà verso i genitori: sua madre lo ha portato con fatica e con fatica lo ha partorito.
na tumemuusia mwanaadamu awatendee wema wazazi wake wawili. mama yake amechukua mimba yake kwa taabu, na akamzaa kwa taabu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
nonostante l’aumento delle lingue usate online, molte comunità fanno ancora fatica quando provano a comunicare tramite i social media.
pamoja na kuongezeka kwa idadi ya lugha zinazotumiwa mtandaoni, jamii nyingi bado zinakabiliana na changamoto zinapojaribu kuwasiliana kupitia mitandao za kijamii.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
non fate come colei che disfaceva il suo filato dopo averlo torto a fatica, facendo dei vostri giuramenti mezzi di reciproco inganno, a seconda della prevalenza di un gruppo o di un altro.
wala msiwe kama mwanamke anaye uzongoa uzi wake baada ya kwisha usokota ukawa mgumu. mnavifanya viapo vyenu kuwa ni njia ya kudanganyana baina yenu kwa kuwa ati taifa moja lina nguvu zaidi kuliko jengine?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
perciò, fratelli miei carissimi, rimanete saldi e irremovibili, prodigandovi sempre nell'opera del signore, sapendo che la vostra fatica non è vana nel signore
basi, ndugu zangu wapenzi, simameni imara na thabiti. endeleeni daima kuwa na bidii katika kazi ya bwana, mkijua kwamba kazi mnayofanya katika utumishi wa bwana haitapotea bure.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
navigammo lentamente parecchi giorni, giungendo a fatica all'altezza di cnido. poi, siccome il vento non ci permetteva di approdare, prendemmo a navigare al riparo di creta, dalle parti di salmone
kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole, na kwa shida tulifika karibu na nido. kwa sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa krete karibu na rasi salmone ambapo upepo haukuwa mwingi.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
date i miei saluti ad ampliato, mio diletto nel signore. salutate urbano, nostro compagno d’opera in cristo, e il mio diletto stachi. salutate apelle, l’approvato in cristo. salutate quelli della casa di aristobulo. 11 salutate erodione mio parente. salutate quelli della casa di narcisso che sono nel signore. salutate trifena e trifosa, donne che hanno faticato nel signore. salutate perside, nostra diletta, poiché ha compiuto molte fatiche nel signore. salutate rufo, l’eletto nel signore, e la madre sua e mia. 14 salutate asincrito, flegonte, erme, patroba, erma e i fratelli che sono con loro. salutate filologo e giulia, nereo e sua sorella, e olimpa e tutti i santi che sono con loro. salutatevi gli uni gli altri con un santo bacio. tutte le congregazioni del cristo vi salutano. ora vi esorto, fratelli, a tenere d’occhio quelli che causano divisioni e occasioni d’inciampo contro l’insegnamento che avete imparato, ed evitateli. poiché gli uomini di quella sorta non sono schiavi del nostro signore cristo, ma del loro proprio ventre; e con discorso blando e parlar complimentoso seducono i cuori dei semplici. poiché la vostra ubbidienza è divenuta nota a tutti. perciò mi rallegro di voi. ma voglio che siate saggi in quanto a ciò che è bene, e innocenti in quanto a ciò che è male. da parte sua, l’iddio che dà pace stritolerà fra breve satana sotto i vostri piedi. l’immeritata benignità del nostro signore gesù sia con voi.
mpeni salamu zangu ampliato mpendwa wangu katika bwana. salimuni urbano mfanyakazi mwenzetu katika kristo, na stako mpendwa wangu. salimuni apele, aliyekubaliwa katika kristo. salimuni wale wa nyumbani mwa aristobulo. salimuni herodioni aliye wa jamaa yangu. salimuni wale wa nyumbani mwa narkiso walio katika bwana. salimuni trifaina na trifosa, wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika bwana. salimuni persisi mpendwa wetu, kwa maana mwanamke huyo alifanya kazi nyingi katika bwana. salimuni rufo aliye mchaguliwa katika bwana, na mama yake na yangu. salimuni asinkrito, flegoni, hermesi, patroba, hermasi, na akina ndugu walio pamoja nao. salimuni filologo na yulia, nerea na dada yake, na olimpa, na watakatifu wote walio pamoja nao. salimianeni kwa busu takatifu. makutaniko yote ya kristo yanawasalimu ninyi. sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao. kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa bwana wetu kristo, bali wa matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na maneno ya kusifusifu wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama. kwa maana utii wenu umekuja kujulikana na wote. kwa hiyo nashangilia juu yenu. lakini nataka ninyi muwe wenye hekima kuhusu yaliyo mema, bali wasio na hatia kuhusu yaliyo maovu. kwa upande wake, mungu anayetoa amani atamponda shetani chini ya miguu yenu upesi. fadhili zisizostahiliwa za bwana wetu yesu na ziwe pamoja nanyi.