From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
respondens autem petrus et apostoli dixerunt oboedire oportet deo magis quam hominibu
hapo petro, akiwa pamoja na wale mitume wengine, akajibu, "lazima tumtii mungu, na siyo binadamu.
exulta super eam caelum et sancti et apostoli et prophetae quoniam iudicavit deus iudicium vestrum de ill
furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. furahini watu wa mungu, mitume na manabii! kwa maana mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda ninyi!
cum autem audissent apostoli qui erant hierosolymis quia recepit samaria verbum dei miserunt ad illos petrum et iohanne
wale mitume waliokuwa kule yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa samaria nao wamelipokea neno la mungu, waliwatuma kwao petro na yohane.
scribentes per manus eorum apostoli et seniores fratres his qui sunt antiochiae et syriae et ciliciae fratribus ex gentibus salute
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
cum possimus oneri esse ut christi apostoli sed facti sumus lenes in medio vestrum tamquam si nutrix foveat filios suo
ingawa sisi tukiwa mitume wa kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. lakini sisi tulikuwa wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.
factus sum insipiens vos me coegistis ego enim debui a vobis commendari nihil enim minus fui ab his qui sunt supra modum apostoli tametsi nihil su
nimekuwa kama mpumbavu, lakini, ninyi mmenilazimisha kuwa hivyo. ninyi ndio mngalipaswa kunisifu. maana, ingawa mimi si kitu, kwa vyovyote, mimi si mdogo zaidi kuliko hao "mitume wakuu."