Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
quod cum cognovissent fratres deduxerunt eum caesaream et dimiserunt tarsu
wale ndugu walipogundua jambo hilo walimchukua saulo, wakampeleka kaisarea, wakamwacha aende zake tarso.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
quam nemo principum huius saeculi cognovit si enim cognovissent numquam dominum gloriae crucifixissen
ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangalielewa, hawangalimsulubisha bwana wa utukufu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et dicit eis quot panes habetis ite et videte et cum cognovissent dicunt quinque et duos pisce
yesu akawauliza, "mnayo mikate mingapi? nendeni mkatazame." walipokwisha tazama, wakamwambia, "kuna mikate mitano na samaki wawili."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et cum cognovissent eum viri loci illius miserunt in universam regionem illam et obtulerunt ei omnes male habente
watu wa huko walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo. basi, wakamletea yesu wagonjwa wote,
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
quia cum cognovissent deum non sicut deum glorificaverunt aut gratias egerunt sed evanuerunt in cogitationibus suis et obscuratum est insipiens cor eoru
ingawa wanajua kuna mungu, lakini hawampi heshima anayostahili, wala hawamshukuru. badala yake, fikira zao zimekuwa batili na akili zao tupu zimejaa giza.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
cum autem cognovissent in thessalonica iudaei quia et beroeae praedicatum est a paulo verbum dei venerunt et illuc commoventes et turbantes multitudine
lakini, wayahudi wa thesalonika walipogundua kwamba paulo alikuwa anahubiri neno la mungu huko berea, walikwenda huko, wakaanza kufanya fujo na kuchochea makundi ya watu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et cum cognovissent gratiam quae data est mihi iacobus et cephas et iohannes qui videbantur columnae esse dextras dederunt mihi et barnabae societatis ut nos in gentes ipsi autem in circumcisione
basi, yakobo, kefa na yohane, ambao waonekana kuwa viongozi wakuu, walitambua kwamba mungu alinijalia neema hiyo, wakatushika sisi mkono, yaani barnaba na mimi, iwe ishara ya ushirikiano. sisi ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu wa mataifa mengine, na wao kati ya wayahudi.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: