Results for hierosolyma translation from Latin to Swahili

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Latin

Swahili

Info

Latin

hierosolyma

Swahili

yerusalemu

Last Update: 2014-02-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

et prope erat pascha iudaeorum et ascendit hierosolyma iesu

Swahili

sikukuu ya wayahudi ya pasaka ilikuwa imekaribia; hivyo yesu akaenda yerusalemu.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

erat autem bethania iuxta hierosolyma quasi stadiis quindeci

Swahili

kijiji cha bethania kilikuwa karibu na yerusalemu umbali upatao kilomita tatu.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

audiens autem herodes rex turbatus est et omnis hierosolyma cum ill

Swahili

mfalme herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa yerusalemu.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

quod cum audissemus rogabamus nos et qui loci illius erant ne ascenderet hierosolyma

Swahili

tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi paulo asiende yerusalemu.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

deinde post annos quattuordecim iterum ascendi hierosolyma cum barnaba adsumpto et tit

Swahili

baada ya miaka kumi na minne, nilikwenda tena yerusalemu pamoja na barnaba; nilimchukua pia tito pamoja nami.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

deinde post annos tres veni hierosolyma videre petrum et mansi apud eum diebus quindeci

Swahili

ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda yerusalemu kuonana na kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

neque veni hierosolyma ad antecessores meos apostolos sed abii in arabiam et iterum reversus sum damascu

Swahili

na bila kwenda kwanza yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza arabia, kisha nikarudi tena damasko.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

inventis autem discipulis mansimus ibi diebus septem qui paulo dicebant per spiritum ne ascenderet hierosolyma

Swahili

tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya roho, wakamwambia paulo asiende yerusalemu.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

cum ergo natus esset iesus in bethleem iudaeae in diebus herodis regis ecce magi ab oriente venerunt hierosolyma

Swahili

yesu alizaliwa mjini bethlehemu, mkoani yudea, wakati herode alipokuwa mfalme. punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika yerusalemu,

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

et cum a papho navigassent paulus et qui cum eo venerunt pergen pamphiliae iohannes autem discedens ab eis reversus est hierosolyma

Swahili

kutoka pafo, paulo na wenzake walipanda meli wakaenda hadi perga katika pamfulia; lakini yohane (marko) aliwaacha, akarudi yerusalemu.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Latin

adsumpsit autem iesus duodecim et ait illis ecce ascendimus hierosolyma et consummabuntur omnia quae scripta sunt per prophetas de filio homini

Swahili

yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, "sikilizeni! tunakwenda yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu mwana wa mtu kitakamilishwa.

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia
Warning: Contains invisible HTML formatting

Latin

erant autem in via ascendentes in hierosolyma et praecedebat illos iesus et stupebant et sequentes timebant et adsumens iterum duodecim coepit illis dicere quae essent ei ventur

Swahili

basi, walikuwa njiani kwenda yerusalemu, na yesu alikuwa anawatangulia. wanafunzi wake walijawa na hofu, na watu waliofuata waliogopa. yesu akawachukua tena kando wale kumi na wawili, akaanza kuwaambia yale yatakayompata:

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Get a better translation with
7,746,390,702 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK