From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
neque veni hierosolyma ad antecessores meos apostolos sed abii in arabiam et iterum reversus sum damascu
na bila kwenda kwanza yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza arabia, kisha nikarudi tena damasko.
inventis autem discipulis mansimus ibi diebus septem qui paulo dicebant per spiritum ne ascenderet hierosolyma
tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya roho, wakamwambia paulo asiende yerusalemu.
cum ergo natus esset iesus in bethleem iudaeae in diebus herodis regis ecce magi ab oriente venerunt hierosolyma
yesu alizaliwa mjini bethlehemu, mkoani yudea, wakati herode alipokuwa mfalme. punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika yerusalemu,
et cum a papho navigassent paulus et qui cum eo venerunt pergen pamphiliae iohannes autem discedens ab eis reversus est hierosolyma
kutoka pafo, paulo na wenzake walipanda meli wakaenda hadi perga katika pamfulia; lakini yohane (marko) aliwaacha, akarudi yerusalemu.
adsumpsit autem iesus duodecim et ait illis ecce ascendimus hierosolyma et consummabuntur omnia quae scripta sunt per prophetas de filio homini
yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, "sikilizeni! tunakwenda yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu mwana wa mtu kitakamilishwa.
erant autem in via ascendentes in hierosolyma et praecedebat illos iesus et stupebant et sequentes timebant et adsumens iterum duodecim coepit illis dicere quae essent ei ventur
basi, walikuwa njiani kwenda yerusalemu, na yesu alikuwa anawatangulia. wanafunzi wake walijawa na hofu, na watu waliofuata waliogopa. yesu akawachukua tena kando wale kumi na wawili, akaanza kuwaambia yale yatakayompata: