Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
et qui missi fuerant erant ex pharisaei
hao watu walikuwa wametumwa na mafarisayo.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
responderunt ergo eis pharisaei numquid et vos seducti esti
mafarisayo wakawauliza, "je, nanyi pia mmedanganyika?
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
numquid aliquis ex principibus credidit in eum aut ex pharisaei
je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa mafarisayo aliyemwamini?
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
pharisaei autem dicebant ei ecce quid faciunt sabbatis quod non lice
mafarisayo wakawaambia, "tazama! kwa nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa sabato?"
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
pharisaei autem audientes quod silentium inposuisset sadducaeis convenerunt in unu
mafarisayo waliposikia kwamba yesu alikuwa amewanyamazisha masadukayo, wakakutana pamoja.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
audiebant autem omnia haec pharisaei qui erant avari et deridebant illu
lakini mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau yesu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et accedentes pharisaei interrogabant eum si licet viro uxorem dimittere temptantes eu
basi, mafarisayo wakamwendea, na kwa kumjaribu wakamwuliza, "je, ni halali mtu kumpa talaka mkewe?"
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
dixerunt ergo ei pharisaei tu de te ipso testimonium perhibes testimonium tuum non est veru
basi, mafarisayo wakamwambia, "wewe unajishuhudia mwenyewe; kwa hiyo ushahidi wako si halali."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
adducunt autem scribae et pharisaei mulierem in adulterio deprehensam et statuerunt eam in medi
basi, walimu wa sheria na mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. wakamsimamisha katikati yao.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
exeuntes autem statim pharisaei cum herodianis consilium faciebant adversus eum quomodo eum perderen
mara mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha herode jinsi ya kumwangamiza yesu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
audierunt pharisaei turbam murmurantem de illo haec et miserunt principes et pharisaei ministros ut adprehenderent eu
mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya yesu. basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et accesserunt ad eum pharisaei temptantes eum et dicentes si licet homini dimittere uxorem suam quacumque ex caus
mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, "je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?"
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
cum haec ad illos diceret coeperunt pharisaei et legis periti graviter insistere et os eius opprimere de multi
alipokuwa akitoka pale, wale mafarisayo na walimu wa sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et coeperunt cogitare scribae et pharisaei dicentes quis est hic qui loquitur blasphemias quis potest dimittere peccata nisi solus deu
walimu wa sheria na mafarisayo wakaanza kujiuliza: "nani huyu anayemkufuru mungu kwa maneno yake? hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila mungu peke yake!"
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
vae autem vobis scribae et pharisaei hypocritae quia clauditis regnum caelorum ante homines vos enim non intratis nec introeuntes sinitis intrar
"ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo, wanafiki! mnaufunga mlango wa ufalme wa mbinguni mbele ya macho ya watu. ninyi wenyewe hamwingii ndani, wala hamwaruhusu wanaotaka kuingia waingie.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et ait dominus ad illum nunc vos pharisaei quod de foris est calicis et catini mundatis quod autem intus est vestrum plenum est rapina et iniquitat
bwana akamwambia, "ninyi mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
vae vobis scribae et pharisaei hypocritae quia similes estis sepulchris dealbatis quae a foris parent hominibus speciosa intus vero plena sunt ossibus mortuorum et omni spurciti
"ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo, wanafiki! mko kama makaburi yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, lakini ndani yamejaa mifupa ya maiti na kila namna ya uchafu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et factum est in una dierum et ipse sedebat docens et erant pharisaei sedentes et legis doctores qui venerant ex omni castello galilaeae et iudaeae et hierusalem et virtus erat domini ad sanandum eo
siku moja yesu alikuwa akifundisha. mafarisayo na walimu wa sheria kutoka katika kila kijiji cha galilaya, yudea na yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. nguvu ya bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: