From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
dicebant iudaei illi qui sanatus fuerat sabbatum est non licet tibi tollere grabattum tuu
kwa hiyo baadhi ya wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, "leo ni sabato, si halali kubeba mkeka wako."
aut non legistis in lege quia sabbatis sacerdotes in templo sabbatum violant et sine crimine sun
au je, hamjasoma katika sheria kwamba kila siku ya sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?
et cum transisset sabbatum maria magdalene et maria iacobi et salome emerunt aromata ut venientes unguerent eu
baada ya siku ya sabato, maria magdalene, salome na maria mama yake yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa yesu.
dicebant ergo ex pharisaeis quidam non est hic homo a deo quia sabbatum non custodit alii dicebant quomodo potest homo peccator haec signa facere et scisma erat in ei
baadhi ya mafarisayo wakasema, "mtu huyu hakutoka kwa mungu, maana hashiki sheria ya sabato." lakini wengine wakasema, "mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara za namna hii?" kukawa na mafarakano kati yao.