Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatieni tuzo kubwa.
እንግዲህ ታላቅ ብድራት ያለውን ድፍረታችሁን አትጣሉ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
እንግዲህ እንዲህ ያለ ተስፋ ካለን እጅግ ገልጠን እንናገራለን፥
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa maana aliendelea kwa uhodari kuwashinda wayahudi hadharani akithibitisha kwa maandiko matakatifu kuwa yesu ni kristo.
ኢየሱስ እርሱ ክርስቶስ እንደ ሆነ ከመጻሕፍት እየገለጠ ለአይሁድ በሁሉ ፊት በጽኑ ያስረዳቸው ነበርና።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini sasa, ee bwana, angalia vitisho vyao. utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
አሁንም፥ ጌታ ሆይ፥ ወደ ዛቻቸው ተመልከት፤ ለመፈወስም እጅህን ስትዘረጋ በቅዱስ ብላቴናህም በኢየሱስ ስም ምልክትና ድንቅ ሲደረግ፥ ባሪያዎችህ በፍጹም ግልጥነት ቃልህን እንዲናገሩ ስጣቸው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
priskila na akula walipomsikia akiongea kwa uhodari ndani ya sunagogi, walimchukua kwao wakamfundisha hiyo njia ya mungu kwa usahihi zaidi.
እርሱም በምኵራብ ገልጦ ይናገር ጀመር። ጵርስቅላና አቂላም በሰሙት ጊዜ፥ ወስደው የእግዚአብሔርን መንገድ ከፊት ይልቅ በትክክል ገለጡለት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, katika kuungana na kristo, na kwa njia ya imani katika kristo, sisi tunathubutu kumkaribia mungu kwa uhodari.
በእርሱም ዘንድ ባለ እምነታችን በኩል በመታመን ድፍረትና መግባት በእርሱ አለን።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
ስለዚህ የሚገባውን አዝህ ዘንድ በክርስቶስ ምንም እንኳ ብዙ ድፍረት ቢኖረኝ፥
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule filipi kabla ya kufika kwenu thesalonike. ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni habari njema yake.
ነገር ግን እንደምታውቁት በፊልጵስዩስ አስቀድመን መከራ ተቀብለን ተንገላትተንም፥ በብዙ ገድል የእግዚአብሔርን ወንጌል ለእናንተ እንናገር ዘንድ በአምላካችን ደፈርን።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba petro na yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na yesu.
ጴጥሮስና ዮሐንስም በግልጥ እንደ ተናገሩ ባዩ ጊዜ፥ መጽሐፍን የማያውቁና ያልተማሩ ሰዎች እንደ ሆኑ አስተውለው አደነቁ፥ ከኢየሱስም ጋር እንደ ነበሩ አወቁአቸው፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: