Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
واما انت فتكلم بما يليق بالتعليم الصحيح.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
baada ya kuhubiri ule ujumbe huko perga, walikwenda atalia.
وتكلما بالكلمة في برجة ثم نزلا الى اتالية.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
halafu akawatuma waende kuhubiri ufalme wa mungu na kuponya wagonjwa.
وارسلهم ليكرزوا بملكوت الله ويشفوا المرضى.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la mungu."
واما نحن فنواظب على الصلاة وخدمة الكلمة.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
siku hizo yohane mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la yudea:
وفي تلك الايام جاء يوحنا المعمدان يكرز في برية اليهودية.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
واقام اثني عشر ليكونوا معه وليرسلهم ليكرزوا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
walipitia sehemu za frugia na galatia kwani roho mtakatifu hakuwaruhusu kuhubiri huo ujumbe mkoani asia.
وبعدما اجتازوا في فريجية وكورة غلاطية منعهم الروح القدس ان يتكلموا بالكلمة في اسيا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
nilipofika troa kuhubiri habari njema ya kristo, nilikuta mlango u wazi kwa ajili ya kazi ya bwana.
ولكن لما جئت الى ترواس لاجل انجيل المسيح وانفتح لي باب في الرب
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wazee wanaowaongoza watu vizuri wanastahili kupata riziki maradufu, hasa wale wanaofanya bidii katika kuhubiri na kufundisha.
اما الشيوخ المدبرون حسنا فليحسبوا اهلا لكرامة مضاعفة ولا سيما الذين يتعبون في الكلمة والتعليم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
tangu wakati huo yesu alianza kuhubiri akisema, "tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia!"
من ذلك الزمان ابتدأ يسوع يكرز ويقول توبوا لانه قد اقترب ملكوت السموات
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
paulo na barnaba walibaki huko antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la bwana, pamoja na watu wengine wengi.
اما بولس وبرنابا فاقاما في انطاكية يعلمان ويبشران مع آخرين كثيرين ايضا بكلمة الرب
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kutoka kwangu mimi paulo, mtumishi wa kristo yesu, na mtume niliyeteuliwa na kuitwa kwa ajili ya kuhubiri habari njema ya mungu.
بولس عبد ليسوع المسيح المدعو رسولا المفرز لانجيل الله
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
baada ya sila na timotheo kuwasili kutoka makedonia, paulo alianza kutumia wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia wayahudi kwamba yesu ndiye kristo.
ولما انحدر سيلا وتيموثاوس من مكدونية كان بولس منحصرا بالروح وهو يشهد لليهود بالمسيح يسوع.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
na kumtuma kwenu ndugu yetu timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya mungu katika kuhubiri habari njema ya kristo. tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
فارسلنا تيموثاوس اخانا وخادم الله والعامل معنا في انجيل المسيح حتى يثبتكم ويعظكم لاجل ايمانكم
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yeye akawaambia, "ninapaswa kuhubiri habari njema za ufalme wa mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo."
فقال لهم انه يبنغي لي ان ابشر المدن الأخر ايضا بملكوت الله لاني لهذا قد أرسلت.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa damasko, halafu kwa wale wa yerusalemu na nchi yote ya yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine. niliwahimiza wamgeukie mungu na kuonyesha kwa vitendo kwamba wamebadilisha mioyo yao.
بل اخبرت اولا الذين في دمشق وفي اورشليم حتى جميع كورة اليهودية ثم الامم ان يتوبوا ويرجعوا الى الله عاملين اعمالا تليق بالتوبة.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mimi ni yohane, ndugu yenu; na kwa kuungana na kristo nashiriki pamoja nanyi katika kustahimili mateso yanayowapata wale walio wa utawala wake. mimi nilikuwa kisiwani patmo kwa sababu ya kuhubiri ujumbe wa mungu na ukweli wa yesu.
انا يوحنا اخوكم وشريككم في الضيقة وفي ملكوت يسوع المسيح وصبره كنت في الجزيرة التي تدعى بطمس من اجل كلمة الله ومن اجل شهادة يسوع المسيح.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: