From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
hapo baadhi ya mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia yesu, "mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!"
واما بعض الفريسيين من الجمع فقالوا له يا معلّم انتهر تلاميذك.
hata hivyo, wengi wa viongozi wa wayahudi walimwamini yesu. lakini kwa sababu ya mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.
ولكن مع ذلك آمن به كثيرون من الرؤساء ايضا غير انهم لسبب الفريسيين لم يعترفوا به لئلا يصيروا خارج المجمع.
basi, mafarisayo wakaambiana, "mnaona? hatuwezi kufanya chochote! tazameni, ulimwengu wote unamfuata."
فقال الفريسيون بعضهم لبعض انظروا. انكم لا تنفعون شيئا. هوذا العالم قد ذهب وراءه
kisa chenyewe kilikuwa hiki: masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. lakini mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
لان الصدوقيين يقولون انه ليس قيامة ولا ملاك ولا روح. واما الفريسيون فيقرون بكل ذلك.