Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa maandiko matakatifu.
حينئذ فتح ذهنهم ليفهموا الكتب.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yatatimiaje maandiko matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"
فكيف تكمل الكتب انه هكذا ينبغي ان يكون
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
ثم ابتدأ من موسى ومن جميع الانبياء يفسر لهما الأمور المختصة به في جميع الكتب
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
وهذا توافقه اقوال الانبياء كما هو مكتوب.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kama maandiko matakatifu yasemavyo: "yakobo nilimpenda, lakini esau nilimchukia."
كما هو مكتوب احببت يعقوب وابغضت عيسو
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi yake akajadiliana nao sabato tatu mfululizo, akatumia maandiko matakatifu.
فدخل بولس اليهم حسب عادته وكان يحاجهم ثلاثة سبوت من الكتب
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
(walikuwa bado hawajaelewa maandiko matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
لانهم لم يكونوا بعد يعرفون الكتاب انه ينبغي ان يقوم من الاموات.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mungu aliwaita miungu wale waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba maandiko matakatifu yasema ukweli daima.
ان قال آلهة لاولئك الذين صارت اليهم كلمة الله. ولا يمكن ان ينقض المكتوب.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hilo lilitendwa ili maandiko matakatifu yatimie: "hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa."
لان هذا كان ليتم الكتاب القائل عظم لا يكسر منه.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
maana yote yalioandikwa yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja tupewayo na maandiko hayo matakatifu tupate kuwa na matumaini.
لان كل ما سبق فكتب كتب لاجل تعليمنا حتى بالصبر والتعزية بما في الكتب يكون لنا رجاء.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawajibu, "je, hamkusoma katika maandiko matakatifu kwamba mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,
فاجاب وقال لهم أما قرأتم ان الذي خلق من البدء خلقهما ذكرا وانثى
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na maandiko matakatifu;
فانني سلمت اليكم في الاول ما قبلته انا ايضا ان المسيح مات من اجل خطايانا حسب الكتب.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
myahudi mmoja aitwaye apolo, mzaliwa wa aleksandria, alifika efeso. alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa maandiko matakatifu.
ثم اقبل الى افسس يهودي اسمه أبلوس اسكندري الجنس رجل فصيح مقتدر في الكتب.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
na watu watahubirije kama hawakutumwa? kama yasemavyo maandiko matakatifu: "ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri habari njema!"
وكيف يكرزون ان لم يرسلوا. كما هو مكتوب ما اجمل اقدام المبشرين بالسلام المبشرين بالخيرات.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
maandiko matakatifu yesema hivi, "ujumbe huo wa mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.
لكن ماذا يقول. الكلمة قريبة منك في فمك وفي قلبك اي كلمة الايمان التي نكرز بها.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ni dhahiri kwamba sheria haiwezi kumfanya mtu akubaliwe kuwa mwadilifu; maana maandiko matakatifu yasema: "mwadilifu kwa imani ataishi."
ولكن ان ليس احد يتبرر بالناموس عند الله فظاهر لان البار بالايمان يحيا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
maana nawaambieni, haya maneno ya maandiko matakatifu: aliwekwa kundi moja na wahalifu, ni lazima yatimie. naam, yale yanayonihusu yanafikia ukamilifu wake."
لاني اقول لكم انه ينبغي ان يتم فيّ ايضا هذا المكتوب وأحصي مع اثمة. لان ما هو من جهتي له انقضاء.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
naye akawajibu, "naam, eliya anakuja kwanza kutayarisha yote. hata hivyo, kwa nini basi imeandikwa katika maandiko matakatifu kwamba mwana wa mtu atapatwa na mateso mengi na kudharauliwa?
فاجاب وقال لهم ان ايليا يأتي اولا ويرد كل شيء. وكيف هو مكتوب عن ابن الانسان ان يتألم كثيرا ويرذل.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akawaambia, "imeandikwa katika maandiko matakatifu: nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi."
وقال لهم. مكتوب بيتي بيت الصلاة يدعى وانتم جعلتموه مغارة لصوص.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting