Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
Եւ նորից գնաց, աղօթքի կանգնեց ու նոյն բաներն ասաց:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.
Եւ բաժանուելով նրանցից՝ լեռ բարձրացաւ աղօթք անելու:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.
Թողեց նրանց ու երրորդ անգամ գնաց աղօթքի կանգնեց. եւ դարձեալ նոյն խօսքն ասաց:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
siku moja yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha huko usiku kucha akimwomba mungu.
Եւ այդ օրերին Յիսուս լեռ բարձրացաւ աղօթելու եւ ամբողջ գիշերն անցկացրեց Աստծուն աղօթելով:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, yesu aliwasimulia mfano kuonyesha kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa.
Մի առակ էլ ասաց նրանց այն մասին, թէ նրանք ամէն ժամ պէտք է աղօթեն ու չձանձրանան:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kesho yake, kabla ya mapambazuko, yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali.
Եւ առաւօտեան մօտ, լոյսը բացուելուց առաջ, վեր կացաւ եւ ելաւ գնաց ամայի մի տեղ ու այնտեղ աղօթում էր:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. hao watapata hukumu kali zaidi!"
որոնք իւրացնում են այրիների տները եւ ձեւականօրէն երկարում են իրենց աղօթքները: Նրանք աւելի խիստ դատավճիռ պիտի ստանան»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
baada ya kuwaaga, alipanda mlimani peke yake kusali. ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake,
Եւ երբ ժողովրդի բազմութիւնն արձակեց, առանձին լեռ բարձրացաւ աղօթելու համար: Եւ երբ երեկոյ եղաւ, այնտեղ էր, մենակ:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. roho i tayari lakini mwili ni dhaifu."
Արթո՛ւն մնացէք եւ աղօ՛թք արէք, որպէսզի փորձութեան մէջ չընկնէք. հոգիս յօժար է, բայց մարմինս՝ տկար»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yapata siku nane baada ya kusema hayo, yesu aliwachukua petro, yohane na yakobo, akaenda nao mlimani kusali.
Եւ այս խօսքերից մօտ ութ օր յետոյ, իր հետ վերցնելով Պետրոսին, Յակոբոսին եւ Յովհաննէսին, նա լեռ ելաւ աղօթքի կանգնելու:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. wakati huo wote alikaa hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.
Նա մօտ ութսունչորս տարեկան մի այրի էր, որ չէր հեռանում տաճարից, այլ ծոմապահութեամբ եւ աղօթքով գիշեր-ցերեկ ծառայում էր Աստծուն:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha yesu akaenda pamoja nao bustanini gethsemane, akawaambia wanafunzi wake, "kaeni hapa nami niende pale mbele kusali."
Այն ժամանակ Յիսուս նրանց հետ եկաւ մի տեղ, որի անունը Գեթսեմանի էր, եւ նրանց ասաց. «Նստեցէ՛ք այդտեղ, մինչեւ որ գնամ աղօթեմ»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kisha akawaambia, "kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu."
Արթո՛ւն կացէք եւ աղօթեցէ՛ք, որպէսզի փորձութեան մէջ չընկնէք: Հոգին յօժար է, բայց մարմինը՝ տկար»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
"mnaposali, msifanye kama wanafiki. wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
«Եւ երբ աղօթես, չլինե՛ս կեղծաւորների նման, որոնք սիրում են ժողովարաններում եւ հրապարակների անկիւններում աղօթքի կանգնել, որպէսզի մարդկանց երեւան. ճշմարիտ եմ ասում ձեզ, ա՛յդ իսկ է նրանց վարձը:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
watu wengine wakamwambia yesu, "wafuasi wa yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa mafarisayo hufanya vivyo hivyo. lakini wafuasi wako hula na kunywa."
Եւ նրանցից ոմանք ասացին նրան. «Ինչո՞ւ Յովհաննէսի, ինչպէս եւ փարիսեցիների աշակերտները ծոմ են պահում յաճախ եւ աղօթք անում, իսկ քո աշակերտները ուտում են ու խմում»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting