From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa mizeituni akielekea hekalu, petro, yakobo, yohane na andrea wakamwuliza kwa faragha,
eta iarriric cegoela oliuatzetaco mendian templearen aurkán, interroga ceçaten appart pierrisec eta iacquesec, ioannesec eta andriuec,
mungu, aliyeumba ulimwengu na vyote vilivyomo, ni bwana wa mbingu na nchi; yeye hakai katika hekalu zilizojengwa na watu.
mundua eta hartan diraden gauça guciac eguin dituen iaincoa, ceruären eta lurraren iaun delaric, ezta escuz eguin templetan habitatzen.
baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa mungu. yesu akasema,
eta batzuc erraiten çutenean templeaz, ecen harri ederrez eta emaitzaz ornatua cela, erran ceçan.
basi, mtu akiliharibu hekalu la mungu, mungu atamharibu; maana hekalu la mungu ni takatifu, na hekalu hilo ni ninyi wenyewe.
baldin norbeitec iaincoaren templea deseguin badeça, deseguinen du hura iaincoac: ecen iaincoaren templea saindu da, cein baitzarete çuec.
ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi cha mungu. humtumikia mungu mchana na usiku katika hekalu lake; naye aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda.
halacotz dituc iaincoaren throno aitzinean, eta hura cerbitzatzen dié egun eta gau haren templean: eta thronoan iarria dena habitaturen duc horiequin.
kwa kujitetea, paulo alisema, "mimi sikufanya kosa lolote kuhusu sheria ya wayahudi, wala kuhusu hekalu, wala kumhusu kaisari."
ihardesten çuelaric paulec, ecen deusetan ezluela faltatu iuduén leguearen contra, ez templearen contra, ez cesaren contra.
maana, mtu ambaye dhamiri yake ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo ndani ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu?
ecen baldin norbeitec ikus baheça hi eçagutze duanor, iarriric agoela idolén templeco mahainean, infirmo denaren conscientiá ezta instruituren idolari sacrificatu diraden gaucetaric iatera?
hekalu la mungu mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana hekaluni mwake. kisha kukatokea umeme, sauti, ngurumo, tetemeko la ardhi, na mvua kubwa ya mawe.
orduan irequi cedin iaincoaren templea ceruän, eta ikus cedin haren alliançazco arká haren templean: eta eguin cedin chistmist eta hots eta lur ikaratze, eta babaçuça handi.
"ole wenu viongozi vipofu! ninyi mwasema ati mtu akiapa kwa hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini akiapa kwa dhahabu ya hekalu, kiapo hicho kinamshika.
maledictione çuen gainean guidari itsuác, ceinéc baitioçue, norc-ere iuraturen baitu templeaz, ezta deus: baina norc-ere iuraturen baitu templeco vrrheaz, çordun da.
"wale wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika hekalu la mungu wangu, na hawatatoka humo kamwe. pia nitaandika juu yao jina la mungu wangu na jina la mji wa mungu wangu, yaani yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa mungu wangu. tena nitaandika juu yao jina langu jipya.
garaita vkanen duena, neure iaincoaren templean habe eguinen diát, eta eztuc guehiagoric camporat ilkiren, eta scribaturen diát haren gainean neure iaincoaren icena, eta neure iaincoaren ciuitatearen icena, cein baita, ierusaleme berria, ene iaincoaganic cerutic iautsia, eta neure icen berria.