From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa ibilisi.
a musíť také i svědectví dobré míti od těch, kteříž jsou vně, aby neupadl v pohanění a v osidlo ďáblovo.
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
kdož činí hřích, z ďábla jest; nebo ďábel hned od počátku hřeší. na toť jest zjeven syn boží, aby kazil skutky ďáblovy.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
a když večeřeli, (a ďábel již byl vnukl v srdce jidáše Šimona iškariotského, aby jej zradil,)
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
po tomtoť zjevní jsou synové boží a synové ďáblovi. každý, kdož nečiní spravedlnosti, neníť z boha, a kdož nemiluje bratra svého.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
kterak ježíše od nazaréta pomazal bůh duchem svatým a mocí; kterýžto chodil, dobře čině, a uzdravuje všecky posedlé od ďábla; nebo bůh s ním byl.
ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
a ďábel, kterýž je svodil, uvržen jest do jezera ohně a síry, kdež jest i šelma, i falešný prorok, a budouť mučeni dnem i nocí na věky věků.
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
i svržen jest drak ten veliký, had starý, jenž slove ďábel a satanáš, kterýž svodí všecken okršlek světa; svržen jest, pravím, na zem, i andělé jeho s ním svrženi jsou.