Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
judith anania
Last Update: 2021-03-31
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
mtu mmoja aitwaye anania na mkewe safira waliuza shamba lao vilevile.
but a certain man named ananias, with sapphira his wife, sold a possession,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hapo kuhani mkuu anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na paulo wampige kofi mdomoni.
and the high priest ananias commanded them that stood by him to smite him on the mouth.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
anania aliposikia hayo, akaanguka chini, akafa. watu wote waliosikia habari ya tukio hilo waliogopa sana.
and ananias hearing these words fell down, and gave up the ghost: and great fear came on all them that heard these things.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini, mkewe akiwa anajua, anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata na ile sehemu nyingine akawakabidhi mitume.
and kept back part of the price, his wife also being privy to it, and brought a certain part, and laid it at the apostles' feet.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
halafu anania akasema: mungu wa babu zetu amekuchagua upate kujua matakwa yake na kumwona yule mtumishi wake mwadilifu na kumsikia yeye mwenyewe akiongea.
and he said, the god of our fathers hath chosen thee, that thou shouldest know his will, and see that just one, and shouldest hear the voice of his mouth.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
baada ya siku tano, kuhani mkuu anania aliwasili kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye tertulo. walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya paulo.
and after five days ananias the high priest descended with the elders, and with a certain orator named tertullus, who informed the governor against paul.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini anania akajibu, "bwana, nimesikia habari za mtu huyu kutoka kwa watu wengi; nimesikia juu ya mabaya aliyowatendea watu wako huko yerusalemu.
then ananias answered, lord, i have heard by many of this man, how much evil he hath done to thy saints at jerusalem:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, petro akamwuliza, "anania, mbona shetani ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye roho mtakatifu kwa kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata kutokana na lile shamba?
but peter said, ananias, why hath satan filled thine heart to lie to the holy ghost, and to keep back part of the price of the land?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, huko damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye anania. bwana akamwambia katika maono, "anania!" anania akaitika, "niko hapa, bwana."
and there was a certain disciple at damascus, named ananias; and to him said the lord in a vision, ananias. and he said, behold, i am here, lord.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting