From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
daktari wa falsafa
philosophy doctor
Last Update: 2014-10-12
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
je wajasiriamali wa afrika wanaweza kujua jinsi ya kuunganisha kanuni falsafa ubuntu za utawala bora na ambao kikundi huja kabla ya mtu binafsi?
will african entrepreneurs know how to integrate the principles of corporate governance with the ubuntu philosophy in which the group comes before the individual?
nilimfahamu kupitia blogu yake, ambapo alikuwa akiandika kwa kiudadisi na kwa mvuto makala kuhusiana na sanaa, siasa, historia na falsafa.
i had come to know him through his blog, where he wrote about curious and inspiring literary pieces, art, politics, history and philosophy.
kwangu mimi, kwa kusoma makala zake zilizohusiana na falsafa pamoja na kupiga soga naye mara kwa mara kupitia facebook, kamwe hakukuniridhisha, hadi pale nilipoamua kuonana naye ana kwa ana.
for me, reading his posts on philosophy and chatting with him occasionally on facebook was never intimate enough, so i decided to meet him in person.
profesa wa falsafa wa chuo kikuu cha mcgill, arash abizadeh, hataki kuhimiza kufunguliwa kwa mipaka, hata hivyo nasema kuwa mfumo uliopo wa mipaka hauwezi kuhalalishwa kwa mantiki ya uwazi ya kiliberali.
mcgill university philosophy professor, arash abizadeh, doesn't encourage the opening of borders, yet states that the current border system can't be justified by a liberal egalitarian logic.
amafundisho ya kina ya falsafa ya ki-buda hivi sasa yanapatikana kwenye mtandao wa intaneti katika muundo wa maoni mafupimafupi, kamusi, podikasti, na hata vitabu kamili ivilivyoandikwa kwa lugha ya kiingereza na khmer.
an extensive teaching of buddhist philosophy is now accessible online in the form of short commentaries, dictionaries, podcasts, or textbooks in both english and khmer.
kwa upande mwingine, james chikonamombe, raia wa zimbabwe anayeishi amerika, anayaona mashambulizi haya kama ushuhuda wa kushindwa kwa dhana ya umajumui wa afrika (falsafa ya kisiasa inayosisitiza mshikamano miongoni mwa wafrikaa):
meanwhile, james chikonamombe, a zimbabwean national based in the us, saw the attacks as evidence of the failure of pan africanism (a political philosophy that promotes solidarity among africans):
falsafa ya kujitolea ya enyi watu wa afrika kusini, mnafahamu kweli kuwa wapo raia wenu wanaoishi katika nchi nyingine za afrika?? #southafrica #xenophobicsa — oyinlola (@lollybubbles) april 15, 2015
steve biko's #blackconsciousness philosophy & sacrifice are rendered meaningless in #afrophobicsa & #xenophobicsa pic.twitter.com/cjxuxkywcf — nakaka ronald (@rnakaka) april 15, 2015