From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
maana ya madhabahu
for the altar
Last Update: 2016-08-18
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
nini maana ya madhabahu
what is the meaning of the altar
Last Update: 2022-02-23
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.
whoso therefore shall swear by the altar, sweareth by it, and by all things thereon.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe,
therefore if thou bring thy gift to the altar, and there rememberest that thy brother hath ought against thee;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
chukueni, kwa mfano, wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa madhabahuni waliungana na hiyo madhabahu.
behold israel after the flesh: are not they which eat of the sacrifices partakers of the alter?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya mungu.
and the sixth angel sounded, and i heard a voice from the four horns of the golden altar which is before god,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
"bwana, wamewaua manabii wako na kubomoa madhabahu yako. ni mimi tu peke yangu niliyebaki, nao wanataka kuniua?"
lord, they have killed thy prophets, and digged down thine altars; and i am left alone, and they seek my life.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
enyi vipofu! ni kipi kilicho cha maana zaidi: ile zawadi, au madhabahu ambayo hufanya hiyo zawadi kuwa takatifu?
ye fools and blind: for whether is greater, the gift, or the altar that sanctifieth the gift?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kisha mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.
and when he had opened the fifth seal, i saw under the altar the souls of them that were slain for the word of god, and for the testimony which they held:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
malaika mwingine akafika, akiwa anachukua chetezo cha dhahabu, akasimama mbele ya madhabahu ya kufukizia ubani. naye akapewa ubani mwingi autoe sadaka pamoja na sala za watu wote wa mungu, juu ya madhabahu ya dhahabu iliyo mbele ya kiti cha enzi.
and another angel came and stood at the altar, having a golden censer; and there was given unto him much incense, that he should offer it with the prayers of all saints upon the golden altar which was before the throne.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. naam, tangu kuuawa kwa abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka kuuawa kwa zakariya, mwana wa barakia, ambaye mlimuua hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu.
that upon you may come all the righteous blood shed upon the earth, from the blood of righteous abel unto the blood of zacharias son of barachias, whom ye slew between the temple and the altar.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: