From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ukuaji wa miji
describe seven problem assiated with rapid urbanization
Last Update: 2022-02-22
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kinachofuata ni muonekano katika picha wa baadhi ya maandamano katika miji mikuu ya pakistan:
what follows is a pictorial view of some of the protests in major cities of pakistan:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
reli lazima iendelezwe siku zijazo kwa miji mitatu mingine mikuu ya mkoa afrika magharibi: abidjan, ouagadougou na lomé.
the railway should extend in the future to three other capital cities of the west african region : abidjan, ouagadougou and lomé.
kumekuwa na ongezeko kubwa duniani katika matukio ya ubaguzi wa rangi unaowalenga watu wa asili ya asia mashariki, ikiwa ni pamoja na miji mikuu kama vile new york, london na san francisco.
there has been a worldwide spike in racist incidents targeting people of east asian origin, including in major cities such as new york, london and san francisco.
nchini marekani, miji ingi mikuu ilitangaza kufungwa kwa maktaba ya umma, ikiwa ni pamoja na los angeles, san francisco, seattle na jiji la new york huku maktaba 221 ikiathirika.
in the united states, numerous major cities announced public library closures, including los angeles, san francisco, seattle, and new york city, affecting 221 libraries.
katika wiki hii ya pili ya maandamano ya kitaifa, ambayo yalikuja kufuatia kuongezwa kwa nauli za usafiri wa umma, maandamano yalifanyika kwenye zaidi ya maeneo 100 pamoja na kupunguzwa kwa nauli katika miji mingi ikiwa ni pamoja na miji mikuu kama vile rio de janeiro na sao paulo, kuonesha kuwa “halikuwa tu suala la senti 20”.
in this second week of national protests, which began over a rise in bus fare prices, the demonstrations happened in more than 100 places despite the reduction of bus fare in many cities, including major capitals such as rio de janeiro and sao paulo, showing that “it was not just about 20 cents”.