Results for tunataka mabadikiko jitahidi kupi... translation from Swahili to English

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

English

Info

Swahili

tunataka mabadikiko jitahidi kupigania haki yako

English

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

baada ya akmal kudungwa sindano ya sumu, serikali ya uingereza na baadhi ya mashirika ya kupigania haki yalijibu vikali.

English

after the inject of akmal by lethal injection, the british government and some right organizations reacted fiercely.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

bila shaka, inakuwa vigumu zaidi kuhalalisha kutoa ruzuku inayotokana na kodi zetu kwa mashirika haya yanayojifanya kupigania haki za wanawake.

English

of course, it gets harder and harder to justify subsidizing your feminazi soap box.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

ashenafi alikuwa ndio kwanza ameanzisha umoja wa wanasheria wanawake miaka miwili iliyopita kwa lengo la kupigania haki za wanawake kwa mujibu wa katiba mpya ya ethiopia.

English

ashenafi had just established the women lawyer's association two years earlier to fight for the rights of women according to ethiopia's then-new constitution.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mwanazuoni wa kiislamu siti musdah mulia: "takwimu zinaonyesha kuwa wanawake hivi sasa wanathubutu kupigania haki zao na kupinga utawala wa wanaume.

English

muslim scholar siti musdah mulia: “the data shows women are now daring to fight for their rights and reject male domination.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

sheria hiyo inatoa adhabu ya kifungo jela kwa yeyote ambaye hatatoa taarifa za kuwapo kwa raia anayefanya vitendo vya kishoga kwa mamlaka za kiserikali na vile vile sheria hiyo inatoa hukumu kwa mtu yeyote kutumia mitandao ya kijamii kama facebook na twita kwa minajili ya kupigania haki za mashoga kitendo kinachotafsiriwa na sheria hiyo kuwa ni cha jinai na hukumu yake ni kifungo kisichozidi miaka saba jela.

English

it also provides for prison sentences for anyone who does not report gay people to authorities and punishes the use of facebook and twitter accounts to fight for gay rights a crime with a maximum of seven years in jail.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wakieleza jinsi waandamanaji walivyojeruhiwa, wanajamii na wanahabari waliopo katika eneo hilo wanaeleza kwamba hapakuwa na fujo dhidi ya wenye mamlaka, ilhali ya uwepo na vurugu, na polisi waliwazuia wanahabari, waangalizi wa amani na shirika za kupigania haki za kibinadamu kufika sehemu ambako maandamano yalikuwa yakiendelea.

English

when describing the clash that injured protesters, both the community members and journalists present describe that there was no violence towards the authorities in spite of the attacks, and that the police restricted the access of journalists, peace observers and human right organizations to the area of the protest.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

pamoja na kuwa waliachiwa masaa machache baadae, watumiaji wengi wa mtandao wa intaneti, waliweka bayana ‘ukweli wa utani’ kuwa waziri mkuu viktor orbán aliwahi pia kutiwa kizuizini kwa kupigania haki za kidemokrasi wakati wa kipindi cha mpito cha demokrasia ya hangari.

English

although they were released a few hours later many netizens pointed at the ‘fun fact’ that the prime minister viktor orbán had once also been arrested for fighting for democratic rights at the time of hungary's transition to democracy.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

google translatehistoria fupi ya chama: chama cha wasioona tanzania kilianzishwa mwaka 1964 na wanafunzi wa chuo cha ufundi manoleo mkoani tabora. lengo la kuanzishwa kwa chama lilikuwa kwa ajili ya kupigania maslahi ya wanachuo wa chuoni hapo. baadaye mwaka 1972 chama cha wasioona kilisajiliwa kwa namba za usajili 5034 na kuwa chama cha kitaifa na makao makuu kuhamishiwa dar es salaam. lengo likiwa kuwaunganisha wasioona wote nchini, kupigania haki na maslahi yao kwa njia ya ushawishi na utetezi. chama cha wasioona kina wanachama zaidi ya 3000 na matawi zaidi ya 105. aidha, chama cha wasioona wilaya ya temeke kilianzishwa mwka 2001 na wanachama waliokuwa wakiishi wilayani hapo, lengo likiwa kupigania haki na maslahi ya wasioona wa wilaya ya temeke. tawi hili lina zaidi ya wanachama 180.

English

google translate

Last Update: 2015-01-17
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.

Get a better translation with
7,739,411,950 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK