From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
maana, kama vile umeme uangazavyo toka mashariki hadi magharibi, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake mwana wa mtu.
cxar kiel la fulmo venas el la oriento kaj montrigxas gxis la okcidento, tiel ankaux estos la alesto de la filo de homo.
watu watakuja kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini, watakuja na kukaa kwenye karamu katika ufalme wa mungu.
kaj oni venos el oriento kaj el okcidento, kaj el nordo kaj el sudo, kaj sidigxos en la regno de dio.
kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao eufrate. maji yake yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki.
kaj la sesa elversxis sian pelvon sur la grandan riveron, la riveron euxfrato; kaj gxia akvo forsekigxis, por ke pretigxu la vojo de la regxoj, kiuj venas el la sunlevigxejo.
baada ya kumsikiliza mfalme, hao wataalamu wa nyota wakaenda. kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto.
kaj auxdinte la regxon, ili ekvojiris; kaj jen la stelo, kiun ili vidis en la oriento, antauxiris ilin, gxis gxi venis kaj staris super la loko, kie estis la juna knabeto.
kila upande ulikuwa na milango mitatu: upande wa mashariki, milango mitatu, kaskazini milango mitatu, kusini milango mitatu na magharibi milango mitatu.
oriente estis tri pordegoj, kaj norde tri pordegoj, kaj sude tri pordegoj, kaj okcidente tri pordegoj.
wakauliza, "yuko wapi mtoto, mfalme wa wayahudi, aliyezaliwa? tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu."
kie estas tiu, kiu estas naskita regxo de la judoj? cxar ni vidis lian stelon en la oriento, kaj venis, por adorklinigxi al li.