From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake kwa njia ya roho mtakatifu aliyetujalia.
aga lootus ei jäta häbisse, sest jumala armastus on välja valatud meie südameisse püha vaimu läbi, kes meile on antud.
yeye alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa; sisi tumemwekea tumaini letu kwamba atatuokoa tena,
tema päästis meid nii suurest surmast ja päästab veelgi; tema peale me loodame, et tema ka edaspidi päästab,
ni kwa sababu hiyo nimeomba kuonana na kuongea nanyi, maana nimefungwa minyororo hii kwa sababu ya tumaini lile la israeli."
selle asja pärast ma teid nüüd kutsusin enese juurde, et teid näha ja teiega rääkida; sest iisraeli lootuse pärast ma olen kinni selles ahelas!”
tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.
mis meile on otsekui hinge ankur, kindel ja tugev ning ulatub sissepoole eesriide taha,
asifiwe mungu na baba wa bwana wetu yesu kristo! kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua yesu kutoka wafu. ametujalia tumaini lenye uzima,
kiidetud olgu jumal ja meie issanda jeesuse kristuse isa, kes oma suurt halastust mööda meid on uuesti sünnitanud elavaks lootuseks jeesuse kristuse ülestõusmise läbi surnuist
maana kwa matumaini hayo sisi tumekombolewa; lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile tunachotumainia. maana ni nani anayetumaini kile ambacho tayari anakiona?
sest me oleme päästetud lootuses. ent lootus, mida nähakse, ei ole mingi lootus; sest mida keegi näeb, kuidas ta seda veel loodab?
ahadi hiyo ndiyo ileile inayotumainiwa na makabila kumi na mawili ya taifa letu, wakimtumikia mungu kwa dhati mchana na usiku. mheshimiwa mfalme, wayahudi wananishtaki kwa sababu ya tumaini hilo!
ja mille täitumist meie kaksteist suguharu ööd ja päevad alati jumalat teenides loodavad näha. selle lootuse pärast, kuningas, tõstavad juudid kaebust minu peale!
mnapaswa, lakini kuendelea kuwa imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia habari njema. mimi paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo habari njema ambayo imekwisha hubiriwa kila kiumbe duniani.
kui te aga jääte ususse hästi rajatuina ja kindlaina ega lase endid ära pöörata evangeeliumi lootusest, mida te olete kuulnud ja mis on kuulutatud kõigele loodule taeva all ja mille teenijaks mina, paulus, olen saanud.
tena asema: "nitamwekea mungu tumaini langu." na tena: "mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa mungu."
ja jälle: „ma loodan tema peale!”; ja jälle: „vaata, siin olen mina ja lapsed, keda jumal mulle on andnud!”
basi, kuna vitu hivi viwili: ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo mungu hawezi kusema uongo. kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.
et kahe kõikumatu asja läbi, milles jumalal on võimatu valetada, oleks vägev julgustus meil, kes oleme usaldanud kinni haarata eelolevast lootusest,