From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ole wenu ninyi iwapo watu wote wanawasifu, maana wazee wao waliwafanyia manabii wa uongo vivyo hivyo.
malheur, lorsque tous les hommes diront du bien de vous, car c`est ainsi qu`agissaient leurs pères à l`égard des faux prophètes!
manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
les prophètes, qui ont prophétisé touchant la grâce qui vous était réservée, ont fait de ce salut l`objet de leurs recherches et de leurs investigations,
kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
vous rendez donc témoignage aux oeuvres de vos pères, et vous les approuvez; car eux, ils ont tué les prophètes, et vous, vous bâtissez leurs tombeaux.
hakika wanao zikataa ishara za mwenyezi mungu, na wakawauwa manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao haki wabashirie adhabu kali.
ceux qui ne croient pas aux signes d'allah, tuent sans droit les prophètes et tuent les gens qui commandent la justice, annonce-leur un châtiment douloureux.
muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni mtume wa mwenyezi mungu na mwisho wa manabii, na mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu.
muhammad n'a jamais été le père de l'un de vos hommes, mais le messager d'allah et le dernier des prophètes. allah est omniscient.
kumbukeni neema za mwenyezi mungu zilizo juu yenu, alipo wateuwa manabii kati yenu, na akakufanyeni watawala, na akakupeni ambayo hakuwapa wowote katika walimwengu.
et il a fait de vous des rois. et il vous a donné ce qu'il n'avait donné à nul autre aux mondes.
na hali ya kuwa hii ndiyo haki inayo thibitisha yale waliyo nayo wao. sema: mbona mliwauwa manabii wa mwenyezi mungu hapo zamani ikiwa kweli mlikuwa waumini?
et ils rejettent le reste, alors qu'il est la vérité confirmant ce qu'il y avait déjà avec eux. - dis: «pourquoi donc avez-vous tué auparavant les prophètes d'allah, si vous étiez croyants?».