From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kutokana na taratibu hizo roho mtakatifu anafundisha wazi kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia mahali patakatifu haijafunguliwa.
le saint esprit montrait par là que le chemin du lieu très saint n`était pas encore ouvert, tant que le premier tabernacle subsistait.
yeye hutoa huduma ya kuhani mkuu katika mahali patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na bwana, siyo na binadamu.
comme ministre du sanctuaire et du véritable tabernacle, qui a été dressé par le seigneur et non par un homme.
tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.
cette espérance, nous la possédons comme une ancre de l`âme, sûre et solide; elle pénètre au delà du voile,
kuhani mkuu wa kiyahudi huleta damu ya wanyama katika mahali patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi; lakini nyama za hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.
le corps des animaux, dont le sang est porté dans le sanctuaire par le souverain sacrificateur pour le péché, sont brûlés hors du camp.
je! kwani sisi hatukuwaweka imara katika pahala patakatifu, penye amani, ambapo huletewa matunda ya kila aina kuwa ni riziki itokayo kwetu?
et ils dirent: «si nous suivons avec toi la bonne voie, on nous arrachera de notre terre». - ne les avons-nous pas établis dans une enceinte sacrée, sûre, vers laquelle des produits de toute sorte sont apportés comme attribution de notre part?
yeye aliingia mahali patakatifu mara moja tu, tena hakuwa amechukua damu ya mbuzi wala ng'ombe, bali aliingia kwa damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele.
et il est entré une fois pour toutes dans le lieu très saint, non avec le sang des boucs et des veaux, mais avec son propre sang, ayant obtenu une rédemption éternelle.
hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. naam, tangu kuuawa kwa abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka kuuawa kwa zakariya, mwana wa barakia, ambaye mlimuua hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu.
afin que retombe sur vous tout le sang innocent répandu sur la terre, depuis le sang d`abel le juste jusqu`au sang de zacharie, fils de barachie, que vous avez tué entre le temple et l`autel.