Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
pilato alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu yosefu auchukue mwili wake.
und als er's erkundet von dem hauptmann, gab er joseph den leichnam.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yule jemadari aliposikia habari za yesu, aliwatuma wazee fulani wayahudi waende kumwomba aje amponye mtumishi wake.
da er aber von jesu hörte, sandte er die Ältesten der juden zu ihm und bat ihn, daß er käme und seinen knecht gesund machte.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
huko kulikuwa na jemadari mmoja mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.
und eines hauptmanns knecht lag todkrank, den er wert hielt.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha akamwamuru yule jemadari amweke paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
er befahl aber dem unterhauptmann, paulus zu behalten und lassen ruhe haben und daß er niemand von den seinen wehrte, ihm zu dienen oder zu ihm zu kommen.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kulikuwa na mtu mmoja huko kaisarea aitwaye kornelio, jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho "kikosi cha italia."
es war aber ein mann zu cäsarea, mit namen kornelius, ein hauptmann von der schar, die da heißt die italische,
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "unataka kufanya nini? mtu huyu ni raia wa roma!"
da das der unterhauptmann hörte, ging er zum oberhauptmann und verkündigte ihm und sprach: was willst du machen? dieser mensch ist römisch.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake aliona jinsi yesu alivyolia kwa sauti na kukata roho, akasema, "kweli mtu huyu alikuwa mwana wa mungu!"
der hauptmann aber, der dabeistand ihm gegenüber und sah, daß er mit solchem geschrei verschied, sprach: wahrlich, dieser mensch ist gottes sohn gewesen!
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa roma kabla hajahukumiwa?"
als man ihn aber mit riemen anband, sprach paulus zu dem hauptmann der dabeistand: ist's auch recht bei euch, einen römischen menschen ohne urteil und recht zu geißeln?
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "hakika mtu huyu alikuwa mwana wa mungu."
aber der hauptmann und die bei ihm waren und bewahrten jesus, da sie sahen das erdbeben und was da geschah, erschraken sie sehr und sprachen: wahrlich dieser ist gottes sohn gewesen!
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, yesu akaenda pamoja nao. alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie yesu: "bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu.
jesus aber ging mit ihnen hin. da sie aber nun nicht ferne von dem hause waren, sandte der hauptmann freunde zu ihm und ließ ihm sagen: ach herr, bemühe dich nicht; ich bin nicht wert, daß du unter mein dach gehest;
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting