Results for yeriko translation from Swahili to German

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

German

Info

Swahili

yeriko

German

jericho

Last Update: 2013-04-28
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Swahili

yesu alipokuwa anaondoka mjini yeriko, umati wa watu ulimfuata.

German

und da sie von jericho auszogen, folgte ihm viel volks nach.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Swahili

yesu aliingia mjini yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.

German

und er zog hinein und ging durch jericho.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Swahili

wakati yesu alipokaribia yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.

German

es geschah aber, da er nahe an jericho kam, saß ein blinder am wege und bettelte.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Swahili

kwa imani kuta za mji wa yeriko zilianguka watu wa israeli walipokwisha zunguka kwa muda wa siku saba.

German

durch den glauben fielen die mauern jerichos, da sie sieben tage um sie herumgegangen waren.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Swahili

basi, wakafika yeriko, naye yesu alipokuwa anatoka katika mji huo akiwa na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mwombaji aitwaye bartimayo mwana wa timayo alikuwa ameketi kando ya barabara.

German

und sie kamen gen jericho. und da er aus jericho ging, er und seine jünger und ein großes volk, da saß ein blinder, bartimäus, des timäus sohn, am wege und bettelte.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

Swahili

yesu akamjibu, "mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka yerusalemu kwenda yeriko. alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.

German

da antwortete jesus und sprach: es war ein mensch, der ging von jerusalem hinab gen jericho und fiel unter die mörder; die zogen ihn aus und schlugen ihn und gingen davon und ließen ihn halbtot liegen.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia
Warning: Contains invisible HTML formatting

Get a better translation with
7,740,944,584 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK