From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
basi, wakafika yeriko, naye yesu alipokuwa anatoka katika mji huo akiwa na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mwombaji aitwaye bartimayo mwana wa timayo alikuwa ameketi kando ya barabara.
und sie kamen gen jericho. und da er aus jericho ging, er und seine jünger und ein großes volk, da saß ein blinder, bartimäus, des timäus sohn, am wege und bettelte.
yesu akamjibu, "mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka yerusalemu kwenda yeriko. alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
da antwortete jesus und sprach: es war ein mensch, der ging von jerusalem hinab gen jericho und fiel unter die mörder; die zogen ihn aus und schlugen ihn und gingen davon und ließen ihn halbtot liegen.