Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
simoni petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,
ויבא שמעון פטרוס אחריו והוא נכנס אל הקבר וירא את התכריכין מנחים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
baada ya muda wa saa tatu hivi, mke wake, bila kufahamu mambo yaliyotukia, akaingia mle ndani.
ויהי כמשלש שעות ותבא אשתו והיא לא ידעה את הנעשה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wakafika mjini kafarnaumu, na mara ilipofika sabato, yesu akaingia katika sunagogi, akaanza kufundisha.
ויבאו אל כפר נחום וימהר לבוא בשבת לבית הכנסת וילמד׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mfarisayo mmoja alimwalika yesu kula chakula nyumbani kwake. akaingia nyumbani mwa huyo mfarisayo, akakaa kula chakula.
ויבקש ממנו אחד מן הפרושים לאכל אתו לחם ויבא אל בית הפרוש ויסב׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
petro alimfuata yesu kwa mbali, akaingia ndani ya ya wa kuhani mkuu, akaketi pamoja na walinzi akiota moto.
ופטרוס הלך אחריו מרחוק עד לחצר הכהן הגדול פנימה וישב שם עם המשרתים ויתחמם נגד האור׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
akaruka, akasimama na kuanza kutembea. halafu akaingia pamoja nao hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza mungu.
ויקפץ ויתהלך ויבא אתם אל המקדש מתהלך ומרקד ומשבח את האלהים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
pilato akaingia tena ndani ya ikulu, akamwita yesu na kumwuliza: "ati wewe ndiye mfalme wa wayahudi?"
וישב פילטוס אל בית המשפט ויקרא אל ישוע ויאמר אליו האתה הוא מלך היהודים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akaingia ndani, akawaambia, "mbona mnapiga kelele na kulia? msichana hakufa, amelala tu."
ובבאו אמר אליהם מה תהמו ותבכו הנערה לא מתה אך ישנה היא׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kisha yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, "tufafanulie ule mfano wa magugu shambani."
אז שלח ישוע את המון העם ויבא הביתה ויגשו אליו תלמידיו ויאמרו באר נא לנו את משל זוני השדה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, wakafika yerusalemu. yesu akaingia hekaluni, akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu humo ndani. akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.
ויבאו ירושלים ויבא ישוע אל המקדש ויחל לגרש משם את המוכרים ואת הקונים ויהפך את שלחנות השלחנים ואת מושבות מכרי היונים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini wao wakamsihi wakisema, "kaa pamoja nasi, maana kunakuchwa, na usiku unakaribia." basi, akaingia kijijini, akakaa pamoja nao.
ויפצרו בו לאמר שבה אתנו כי עת ערב הגיע ונטה היום ויבא הביתה לשבת אתם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, anania akaenda, akaingia katika hiyo nyumba. kisha akaweka mikono yake juu ya saulo, akasema, "ndugu saulo, bwana ambaye ndiye yesu mwenyewe aliyekutokea ulipokuwa njiani kuja hapa, amenituma ili upate kuona tena na kujazwa roho mtakatifu."
וילך חנניה ויבא הביתה וישם את ידיו עליו ויאמר שאול אחי האדון ישוע הנראה אליך בדרך אשר באת בה שלחני למען תשוב ותראה ותמלא רוח הקדש׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting