Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
watakieni baraka wale wanaowalaani, na waombeeni wale wanaowatendea vibaya.
ברכו את מקלליכם והתפללו בעד מכלימיכם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa maana atakabidhiwa kwa watu wa mataifa nao watamtendea vibaya na kumtemea mate.
כי ימסר לגוים ויהתלו בו ויתעללו בו וירקו בפניו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. basi, kwa mapendo sheria yote hutimizwa.
האהבה לא תרע לרע על כן האהבה קיום התורה כלה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
alilifanyia taifa letu ukatili, akawatendea vibaya babu zetu kwa kuwalazimisha waweke nje watoto wao wachanga ili wafe.
וזה התחכם למשפחתנו וירע לאבותינו ויצו אתם להשליך את עלליהם אל פני השדה לבלתי החיותם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kulipiza kisasi, akamuua yule mmisri.
וירא איש אחד מעשק חנם ויושע לו ויקם נקמת המכה בהכותו את המצרי׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
sasa, watu hao wasiomjua mungu wanashangaa wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya kuishi vibaya, na hivyo wanawatukaneni.
ועל זאת תמהים המה ומגדפים כי לא תרוצו עמהם לשטף בזמה כמוהם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yule bwana akamtuma tena mtumishi mwingine; lakini wao wakampiga huyo vilevile na kumtendea vibaya, wakamrudisha mikono mitupu.
ויסף שלח עבד אחר ויכו גם אתו ויחרפהו וישלחהו ריקם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
וארא והנה אחד מראשיה כפצוע עד מות ומכת מות אשר לו נרפאה ותשתומם כל הארץ אחרי החיה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, watu wakaunguzwa vibaya sana; wakamtukana mungu aliye na uwezo juu ya mabaa hayo makubwa. lakini hawakuziacha dhambi zao na kumtukuza mungu.
ויצרבו בני אדם בחם גדול ויגדפו את שם אלהים אשר לו הממשלה על המכות האלה ולא שבו לתת לו הכבוד׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
na hapo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa miaka kumi na minane kutokana na pepo aliyekuwa amempagaa. kwa sababu hiyo, mwili wake ulikuwa umepindika vibaya hata asiweze kusimama wima.
והנה אשה טעונת רוח חלי כשמנה עשרה שנה ותהי כפופה ולא יכלה לקום קומה זקופה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wao wakamjibu, "atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile shamba atawapa wakulima wengine ambao watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno."
ויאמרו אליו ירע לרעים ויאבדם ואת הכרם יתן לכרמים אחרים אשר ישיבו לו את הפרי בעתו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua stefano kuwa sawa. siku hiyo kanisa la yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za yudea na samaria.
ושאול גם הוא היה רצה בהרגתו ותהי ביום ההוא רדיפה גדולה על הקהלה אשר בירושלים ויפצו כלם בערי יהודה ושמרון לבד מן השליחים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
paulo akajibu, "ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. maana maandiko yasema hivi: usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako."
ויאמר פולוס אחי לא ידעתי אשר הוא הכהן הגדול כי כתוב נשיא בעמך לא תאר׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting