Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ili yale aliyosema nabii isaya yatimie:
perché si adempisse ciò che era stato detto dal profeta isaia
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
baba na mama yake yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema simeoni juu ya mtoto.
il padre e la madre di gesù si stupivano delle cose che si dicevano di lui
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
(ilifanyika hivyo yapate kutimia maneno aliyosema yesu kuonyesha atakufa kifo gani.)
così si adempivano le parole che gesù aveva detto indicando di quale morte doveva morire
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema paulo.
il centurione però dava più ascolto al pilota e al capitano della nave che alle parole di paolo
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo nilikumbuka yale maneno bwana aliyosema: yohane alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho mtakatifu.
mi ricordai allora di quella parola del signore che diceva: giovanni battezzò con acqua, voi invece sarete battezzati in spirito santo
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. wakanena, "je, huyu si mwana wa yosefu?"
tutti gli rendevano testimonianza ed erano meravigliati delle parole di grazia che uscivano dalla sua bocca e dicevano: «non è il figlio di giuseppe?»
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: "ameniambia mambo yote niliyofanya."
molti samaritani di quella città credettero in lui per le parole della donna che dichiarava: «mi ha detto tutto quello che ho fatto»
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
alifanya hivyo ili yale aliyosema nabii isaya yatimie: "yeye mwenyewe ameondoa udhaifu wetu, ameyachukua magonjwa yetu."
perché si adempisse ciò che era stato detto per mezzo del profeta isaia: e si è addossato le nostre malattie
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
watu wengi walimwendea wakasema, "yohane hakufanya ishara yoyote. lakini yale yote yohane aliyosema juu ya mtu huyu ni kweli kabisa."
molti andarono da lui e dicevano: «giovanni non ha fatto nessun segno, ma tutto quello che giovanni ha detto di costui era vero»
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
(naye aliyeona tukio hilo ametoa habari zake ili nanyi mpate kuamini. na hayo aliyosema ni ukweli, tena yeye anajua kwamba anasema ukweli.)
chi ha visto ne dà testimonianza e la sua testimonianza è vera e egli sa che dice il vero, perché anche voi crediate
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality: