From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine ni ufunguo wa kuendeleza amani, kuendeleza maendeleo, kuendeleza uhuru na haki.
il sacrificio per gli altri è la chiave per avanzare nella pace, nello sviluppo sostenibile, nel sostenere la libertà e la giustizia.
pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika sheria ya bwana.
e per offrire in sacrificio una coppia di tortore o di giovani colombi, come prescrive la legge del signore
mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha mkawapa mafakiri kwa siri basi hivyo ni kheri kwenu, na yatakuondoleeni baadhi ya maovu yenu.
se lasciate vedere le vostre elargizioni, è un bene; ma è ancora meglio per voi, se segretamente date ai bisognosi; [ciò] espierà una parte dei vostri peccati.
hakuna kheri katika mengi ya wanayo shauriana kwa siri, isipo kuwa kwa yule anaye amrisha kutoa sadaka, au kutenda mema, au kupatanisha baina ya watu.
non c'è nulla di buono in molti dei loro conciliaboli, eccezion fatta per chi ordina un'elemosina o una buona azione o la riconciliazione tra gli uomini.
enyi mlio amini! msiharibu sadaka zenu kwa masimbulizi na maudhi, kama anaye toa mali yake kwa kuwaonyesha watu, wala hamuamini mwenyezi mungu wala siku ya mwisho.
o voi che credete, non vanificate le vostre elemosine con rimproveri e vessazioni, come quello che dà per mostrarsi alla gente e non crede in allah e nell'ultimo giorno.
je! hawajui ya kwamba mwenyezi mungu anapokea toba ya waja wake, na anazikubali sadaka, na kwamba mwenyezi mungu ni mwingi wa kupokea toba na mwenye kurehemu?
non sanno dunque che è allah che accetta il pentimento dei suoi servi e che accoglie le elemosine? allah è colui che accetta il pentimento, il misericordioso.
watumiaji wa mtandao wa iran wameonesha hisia zao kufuatia kosa hili la “jinai” linalotukumbusha kwa mara nyingine tena kuwa wanablogu wanaweza kuishia kutoa maisha yao sadaka kwa kazi zao zilizo na tija.
i netizen iraniani reagiscono a questo reato, che ci ricorda una volta di più come i blogger debbano sacrificare la loro vita a causa dell'attivismo online.
kwa imani, abrahamu alimtoa mwanae isaka sadaka wakati mungu alipomjaribu. huyo abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
per fede abramo, messo alla prova, offrì isacco e proprio lui, che aveva ricevuto le promesse, offrì il suo unico figlio
na toeni katika tulicho kupeni kabla hayajamfikia mmoja wenu mauti, tena hapo akasema: mola wangu mlezi! huniakhirishi muda kidogo nipate kutoa sadaka, na niwe katika watu wema?
siate generosi di quello che noi vi abbiamo concesso, prima che giunga a uno di voi la morte ed egli dica: “signore, se tu mi dessi una breve dilazione, farei l'elemosina e sarei fra i devoti”.
hakika waislamu wanaume na waislamu wanawake, na waumini wanaume na waumini wanawake, na wat'iifu wanaume na wat'iifu wanawake, na wasemao kweli wanaume na wanawake, na wanao subiri wanaume na wanawake, na wanyenyekevu wanaume na wanawake, na watoao sadaka wanaume na wanawake, na wanao funga wanaume na wanawake, na wanao jihifadhi tupu zao wanaume na wanawake, na wanao mdhukuru mwenyezi mungu kwa wingi wanaume na wanawake, mwenyezi mungu amewaandalia msamaha na ujira mkubwa.
in verità i musulmani e le musulmane, i credenti e le credenti, i devoti e le devote, i leali e le leali, i perseveranti e le perseveranti, i timorati e le timorate, quelli che fanno l'elemosina e quelle che fanno l'elemosina, i digiunatori e le digiunatrici, i casti e le caste, quelli che spesso ricordano allah e quelle che spesso ricordano allah, sono coloro per i quali allah ha disposto perdono ed enorme ricompensa.