From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la mungu.
jo es esmu mazākais starp apustuļiem un es neesmu cienīgs, ka mani sauc par apustuli, tādēļ ka es vajāju dieva baznīcu.
jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo roho mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. lichungeni kanisa la mungu ambalo amejipatia kwa damu ya mwanae.
uzmaniet paši sevi un visu ganāmo pulku, kurā svētais gars jūs iecēlis par bīskapiem, lai ganītu dieva baznīcu, ko viņš ar savām asinīm ieguvis.
wakati huohuo, saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani.
bet sauls postīja baznīcu, iedams namos, tverot vīriešus un sievietes un nododot tos cietumā.
na sasa nafurahi kuteseka kwa ajili yenu, maana kwa mateso yangu hapa duniani, nasaidia kukamilisha kile kilichopungua bado katika mateso ya kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa.
tagad es priecājos savās ciešanās par jums, savā miesa papildinādams to, kas iztrūkst kristus ciešanās, par viņa miesu, kas ir baznīca.
"kwa malaika wa kanisa la smurna andika hivi: "huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye wa kwanza na wa mwisho, ambaye alikufa na akaishi tena.
un smirnas baznīcas eņģelim raksti: tā saka pirmais un pēdējais, kas bija miris un atkal dzīvo:
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
tad apustuļi un vecākie kopā ar draudzi nolēma izvēlēt no sava vidus starp brāļiem cienījamus vīrus: jūdu, kas saucās barsaba, un sīlu, lai sūtītu tos kopā ar pāvilu un barnabu uz antiohiju.
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
un veselu gadu viņi tur darbojās baznīcā un mācīja daudz ļaužu, un antiohijas mācekļi pirmo reizi sāka saukties par kristīgajiem.
basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.
tāpēc, ja es nākšu, atgādināšu viņa darbus, kādus viņš dara, ļaunprātīgi mūs aprunādams; un ar to viņam vēl nepietiek: viņš pats neuzņem brāļus un aizliedz to darīt tiem, kas tos grib uzņemt, un izstumj tos no draudzes.