Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.
Ибо не знал, что сказать; потому что они были в страхе.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kanisa lote pamoja na wote waliosikia habari ya tukio hilo, waliogopa sana.
И великий страх объял всю церковь и всех слышавших это.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
maana wote walipomwona waliogopa sana. mara yesu akasema nao, "tulieni, ni mimi. msiogope!"
Ибо все видели Его и испугались. И тотчас заговорил с ними и сказал им: ободритесь; это Я, не бойтесь.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
hao maofisa waliwapasha habari mahakimu juu ya jambo hilo, nao waliposikia kwamba paulo na sila walikuwa raia wa roma, waliogopa.
Городские служители пересказали эти слова воеводам, и те испугались, услышав, что это Римские граждане.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
petro alipokuwa akisema hayo, mara wingu likatokea na kuwafunika; na wingu hilo lilipowajia, wale wanafunzi waliogopa sana.
Когда же он говорил это, явилось облако и осенило их; и устрашились, когда вошли в облако.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
walimu wa sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
И искали в это время первосвященники и книжники, чтобыналожить на Него руки, но побоялись народа, ибо поняли, что о них сказал Он эту притчу.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo mkuu wa walinzi wa hekalu pamoja na watu wake walikwenda hekaluni, akawaleta. lakini hawakuwakamata kwa kutumia nguvu, maana waliogopa kwamba watu wangewapiga mawe.
Тогда начальник стражи пошел со служителями и привел их без принуждения, потому что боялись народа, чтобы не побили их камнями.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
na tukisema, yalitoka kwa watu..." (waliogopa umati wa watu maana wote waliamini kwamba yohane alikuwa kweli nabii.)
а сказать: от человеков - боялись народа, потому что все полагали, что Иоанн точно был пророк.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wale wanamaji waliuvuta mtumbwi ndani, kisha wakaizungushia meli kamba na kuifunga kwa nguvu. waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye ufuko wa bahari, pwani ya libya. kwa hiyo walishusha matanga na kuiacha meli ikokotwe na upepo.
Подняв ее, стали употреблять пособия иобвязывать корабль; боясь же, чтобы не сесть на мель, спустили парус и таким образом носились.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, walikuwa njiani kwenda yerusalemu, na yesu alikuwa anawatangulia. wanafunzi wake walijawa na hofu, na watu waliofuata waliogopa. yesu akawachukua tena kando wale kumi na wawili, akaanza kuwaambia yale yatakayompata:
Когда были они на пути, восходя в Иерусалим, Иисусшел впереди их, а они ужасались и, следуя за Ним, были в страхе. Подозвав двенадцать, Он опять начал им говорить о том, что будет с Ним:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality: