From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa ibilisi.
también debe tener buen testimonio de los de afuera, para que no caiga en el reproche y la trampa del diablo
yesu akawaambia, "je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? hata hivyo, mmoja wenu ni ibilisi!"
jesús les respondió: --¿no os escogí yo a vosotros doce, y uno de vosotros es diablo
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
el que practica el pecado es del diablo, porque el diablo peca desde el principio. para esto fue manifestado el hijo de dios: para deshacer las obras del diablo
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
durante la cena, como el diablo ya había puesto en el corazón de judas hijo de simón iscariote que le entregase
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
en esto se revelan los hijos de dios y los hijos del diablo: todo aquel que no practica justicia no es de dios, ni tampoco el que no ama a su hermano
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
me refiero a jesús de nazaret, y a cómo dios le ungió con el espíritu santo y con poder. Él anduvo haciendo el bien y sanando a todos los oprimidos por el diablo, porque dios estaba con él
ulafi wa #uongozi: #sudankusini ilipokuwa sehemu ya #sudan, watu walidhani kwamba mji wa khartoum ulikuwa ibilisi wa pekee.
ambición de la dirigencia: cuando sudán del sur estaba con sudán, el pueblo creía que jartum era el Único demonio.
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
y fue arrojado el gran dragón, la serpiente antigua que se llama diablo y satanás, el cual engaña a todo el mundo. fue arrojado a la tierra, y sus ángeles fueron arrojados junto con él