Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
אעשה את דין האלמנה הזאת על הוגיעה אתי פן תבוא תמיד ותדכאני במלים׃
lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua, nitamtetea; la sivyo ataendelea kufika hapa, na mwisho atanichosha kabisa!"
כי הלא בסכנה אנחנו להתחיב במרד בעבור היום הזה ודבר אין לנו לתת דין וחשבון על הרגשה הזאת׃
kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana na vituko vya leo. ghasia hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo."
ויהי כאשר אסר להכותו ברצועות ויאמר אל שר המאה העמד עליו האף רשיון לכם להכות איש רומי בלא דין ומשפט׃
lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa roma kabla hajahukumiwa?"
אבל אני אמר לכם כל אשר יקצף על אחיו חנם מחיב הוא לבית דין ואשר יאמר אל אחיו רקא מחיב הוא לסנהדרין ואשר יאמר אתה הנבל מחיב לאש גיהנם׃
lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. anayemwita ndugu yake: pumbavu atastahili kuingia katika moto wa jehanamu.
ויאמר פולוס אליהם הכה הכונו נגד כל העם בלא דין ומשפט ואנחנו אנשים רומיים וישליכו אתנו במשמר ועתה נסתר יגרשונו אל נא כי אם יבאו המה ויוציאונו׃
lakini paulo alimjibu, "ati nini? ingawa hatukuwa na kosa, walitupiga viboko hadharani hali sisi ni raia wa roma. tena, walitutia ndani na sasa wanataka kutufungulia kwa siri! hata kidogo! ni lazima wao wenyewe waje hapa watufungulie."