Imparare a tradurre dagli esempi di traduzione forniti da contributi umani.
Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
lo prese tra le braccia e benedisse dio
simeoni alimpokea mtoto yesu mikononi mwake huku akimtukuza mungu na kusema:
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
per fede isacco benedisse giacobbe ed esaù anche riguardo a cose future
kwa imani isaka aliwabariki yakobo na esau, wapate baraka zitakazokuja baadaye.
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
poi li condusse fuori verso betània e, alzate le mani, li benedisse
kisha akawaongoza nje ya mji hadi bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
egli invece, che non era della loro stirpe, prese la decima da abramo e benedisse colui che era depositario della promessa
lakini huyo melkisedeki hakuwa wa ukoo wa lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya mungu.
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
per fede giacobbe, morente, benedisse ciascuno dei figli di giuseppe e si prostrò, appoggiandosi all'estremità del bastone
kwa imani yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa yosefu, akamwabudu mungu akiegemea ile fimbo yake.
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
allora egli prese i cinque pani e i due pesci e, levati gli occhi al cielo, li benedisse, li spezzò e li diede ai discepoli perché li distribuissero alla folla
kisha yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru mungu, akavimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu.
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
simeone li benedisse e parlò a maria, sua madre: «egli è qui per la rovina e la risurrezione di molti in israele, segno di contraddizion
simeoni akawabariki, akamwambia maria mama yake, "mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika israeli. naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
Attenzione: contiene formattazione HTML nascosta
e dio proseguì, dicendo: “brulichino le acque di un brulichio di anime viventi* e volino creature volatili sopra la terra sulla faccia della distesa dei cieli”. e dio creava* i grandi mostri marini e ogni anima vivente che si muove, di cui le acque brulicarono secondo le loro specie, e ogni alata creatura volatile secondo la sua specie. e dio vedeva che [era] buono. allora dio li benedisse, dicendo: “siate fecondi e moltiplicatevi e riempite le acque dei bacini dei mari, e le creature volatili si moltiplichino sulla terra”. e si faceva sera e si faceva mattina, un quinto giorno.
mungu akaendelea kusema: “maji na yajawe na nafsi hai na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.” mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini na kila nafsi hai inayotembea, wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake. kisha mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema. halafu mungu akawabariki, akisema: “zaeni, muwe wengi na kujaza maji yaliyo katika mabonde ya bahari, na viumbe vinavyoruka na viwe vingi duniani.” ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano
Ultimo aggiornamento 2013-03-02
Frequenza di utilizzo: 2
Qualità:
Riferimento: