From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
and some of the pharisees from among the multitude said unto him, master, rebuke thy disciples.
hapo baadhi ya mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia yesu, "mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!"
and the pharisees and scribes murmured, saying, this man receiveth sinners, and eateth with them.
mafarisayo na walimu wa sheria wakaanza kunung'unika: "mtazameni mtu huyu! anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao."
and the pharisees said unto him, behold, why do they on the sabbath day that which is not lawful?
mafarisayo wakawaambia, "tazama! kwa nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa sabato?"
and jesus answering spake unto the lawyers and pharisees, saying, is it lawful to heal on the sabbath day?
yesu akawauliza walimu wa sheria na mafarisayo, "je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"
then came to him the disciples of john, saying, why do we and the pharisees fast oft, but thy disciples fast not?
kisha wanafunzi wa yohane mbatizaji walimwendea yesu, wakamwuliza, "sisi na mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?"
judas then, having received a band of men and officers from the chief priests and pharisees, cometh thither with lanterns and torches and weapons.
basi, yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
and as he said these things unto them, the scribes and the pharisees began to urge him vehemently, and to provoke him to speak of many things:
alipokuwa akitoka pale, wale mafarisayo na walimu wa sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi
woe unto you, scribes and pharisees, hypocrites! because ye build the tombs of the prophets, and garnish the sepulchres of the righteous,
"ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo, wanafiki! mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya watu wema.
woe unto you, scribes and pharisees, hypocrites! for ye are as graves which appear not, and the men that walk over them are not aware of them.
ole wenu, kwa sababu mko kama makaburi yaliyofichika; watu hutembea juu yake bila kufahamu."
woe unto you, scribes and pharisees, hypocrites! for ye make clean the outside of the cup and of the platter, but within they are full of extortion and excess.
"ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo, wanafiki! mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyang'anyi na uchoyo.