Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
the meaning of revenge
maana ya kuropokwa
Last Update: 2023-10-03
Usage Frequency: 1
Quality:
we took revenge on them.
basi tukawalipizia.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
so we took revenge upon them.
kwa hivyo tukawaadhibu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
we take revenge on the sinners.
hakika sisi tutajilipiza kwa wakosefu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
we will take revenge on the criminal.
hakika sisi tutajilipiza kwa wakosefu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
god is mighty, able to take revenge.
na mwenyezi mungu ni mwenye nguvu na mwenye kulipa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
god is majestic and capable to revenge.
na mwenyezi mungu ni mwenye nguvu na mwenye kulipa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
then we took revenge on those who sinned.
tukawaadhibu wale walio fanya ukosefu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
in solidarity with the pilot, divided on revenge
katika kuonesha kushikamana na rubani huyu, kumekuwa na mpasuko katika ulipizaji kisasi
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
we shall revenge them either after your death
na hata tukikuondoa, sisi tutalipiza kisasi chetu kwao.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and those who take revenge when rebellion harms them.
na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
or they say, “we shall all take revenge as a group.”
au ndio wanasema: sisi ni wengi tutashinda tu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
so they were neither able to stand up, nor were they able to take revenge.
basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and those who, when an oppressive wrong is done to them, they take revenge.
na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
but on that day we will assault them most mightily, and then we shall revenge!
siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka sisi ni wenye kutesa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and there is no way of reproach against those who take revenge after being wronged.
na wanao jitetea baada ya kudhulumiwa, hao hapana njia ya kuwalaumu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and he had no group to help him against allah, nor was he capable of taking revenge.
wala hakuwa nacho kikundi cha kumsaidia badala ya mwenyezi mungu, wala mwenyewe hakuweza kujisaidia.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and their revenge on them was only because they believed in allah, the almighty, the praised,
nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini mwenyezi mungu, mwenye nguvu, msifiwa,
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
we know that revenge doesn’t build a country, doesn’t build democracy.
tunajua kuwa. kulipiza kisasi hakujengi nchi wala demokrasia.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
abuse not those to whom they pray, apart from god, or they will abuse god in revenge without knowledge.
wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya mwenyezi mungu, wasije na wao wakamtukana mwenyezi mungu kwa jeuri bila ya kujua.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: