From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
then ananias answered, lord, i have heard by many of this man, how much evil he hath done to thy saints at jerusalem:
lakini anania akajibu, "bwana, nimesikia habari za mtu huyu kutoka kwa watu wengi; nimesikia juu ya mabaya aliyowatendea watu wako huko yerusalemu.
and to her was granted that she should be arrayed in fine linen, clean and white: for the fine linen is the righteousness of saints.
amepewa uwezo wa kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung'aa!" (nguo hiyo ya kitani safi ni matendo mema ya watu wa mungu.)
someone even painted one of the shooters in the style of an orthodox icon, complete with golden nimbus, perhaps playing off of the boondock saints comparison:
mwingine alimpaka rangi mmoja wa wahalifu katika michoro ya ki-orthodox, ili apewe hadhi ya kidini, labda alifanya mchezo wa kuifananisha na filamu ya watakatifu wa boondock:
and it was given unto him to make war with the saints, and to overcome them: and power was given him over all kindreds, and tongues, and nations.
aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa mungu. alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa.
and i saw the woman drunken with the blood of the saints, and with the blood of the martyrs of jesus: and when i saw her, i wondered with great admiration.
nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumtangaza yesu. nilipomwona nilishangaa mno.
beloved, when i gave all diligence to write unto you of the common salvation, it was needful for me to write unto you, and exhort you that ye should earnestly contend for the faith which was once delivered unto the saints.
ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
and those who believe in allah and his apostles - those! they are the saints and martyrs in the sight of their lord; theirs will be their full hire and their light.
na walio muamini mwenyezi mungu na mitume wake, hao ndio masidiqi na mashahidi mbele ya mola wao mlezi. wao watapata malipo yao na nuru yao.
and they sing the song of moses the servant of god, and the song of the lamb, saying, great and marvellous are thy works, lord god almighty; just and true are thy ways, thou king of saints.
walikuwa wakiimba wimbo wa mose, mtumishi wa mungu, na wimbo wa mwanakondoo: "bwana mungu mwenye uwezo, matendo yako ni makuu mno! ewe mfalme wa mataifa, njia zako ni za haki na za kweli!