Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
per il monte,
naapa kwa mlima wa t'ur,
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
per il monte sinai
na kwa mlima wa sinai!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
e non eri sul fianco del monte quando chiamammo.
wala hukuwa kando ya mlima tulipo nadi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
gesù si avviò allora verso il monte degli ulivi
lakini yesu akaenda kwenye mlima wa mizeituni.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
quando gesù fu sceso dal monte, molta folla lo seguiva
yesu aliposhuka kutoka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
e dopo aver cantato l'inno, uscirono verso il monte degli ulivi
baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa mizeituni.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lo chiamammo dalla parte destra del monte e lo facemmo avvicinare in confidenza.
na tulimwita upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
non appena il suo signore si manifestò sul monte esso divenne polvere e mosè cadde folgorato.
ukibaki pahala pake basi utaniona. basi alipo jionyesha mola mlezi wake kwa mlima, aliufanya uvurugike, na musa akaanguka chini amezimia.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
rispose: “mi rifugerò su un monte che mi proteggerà dall'acqua”.
akasema: nitakimbilia mlimani unilinde na maji.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
o figli di israele, vi liberammo dal vostro nemico e vi demmo convegno sul lato destro del monte.
enyi wana wa israili! hakika tulikuokoeni na adui yenu, na tukakuahidini upande wa kulia wa mlima.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
circa otto giorni dopo questi discorsi, prese con sé pietro, giovanni e giacomo e salì sul monte a pregare
yapata siku nane baada ya kusema hayo, yesu aliwachukua petro, yohane na yakobo, akaenda nao mlimani kusali.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
come quest'albero che sorge dal monte sinai, che vi offre olio e condimento per i vostri cibi.
na mti utokao katika mlima wa sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
congedata la folla, salì sul monte, solo, a pregare. venuta la sera, egli se ne stava ancora solo lassù
baada ya kuwaaga, alipanda mlimani peke yake kusali. ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
passati quarant'anni, gli apparve nel deserto del monte sinai un angelo, in mezzo alla fiamma di un roveto ardente
"miaka arobaini ilipotimia, malaika wa bwana alimtokea mose katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto kule jangwani karibu na mlima sinai.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mentre era seduto sul monte degli ulivi, di fronte al tempio, pietro, giacomo, giovanni e andrea lo interrogavano in disparte
yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa mizeituni akielekea hekalu, petro, yakobo, yohane na andrea wakamwuliza kwa faragha,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
gesù le dice: «credimi, donna, è giunto il momento in cui né su questo monte, né in gerusalemme adorerete il padre
yesu akamwambia, "niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu baba juu ya mlima huu, wala kule yerusalemu.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
- il sinai è un monte dell'arabia -; essa corrisponde alla gerusalemme attuale, che di fatto è schiava insieme ai suoi figli
hagari anawakilisha mlima sinai ulioko arabia, na ni mfano wa yerusalemu ya sasa, ulio mtumwa pamoja na watoto wake.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
dopo sei giorni, gesù prese con sé pietro, giacomo e giovanni e li portò sopra un monte alto, in un luogo appartato, loro soli. si trasfigurò davanti a lor
baada ya siku sita, yesu aliwachukua petro, yakobo na yohane juu ya mlima mrefu peke yao. huko, yesu akageuka sura mbele yao,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
rispose: “no, tu non mi vedrai, ma guarda il monte; se rimane al suo posto, tu mi vedrai”.
mwenyezi mungu akasema: hutoniona. lakini utazame huo mlima.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
disse allah: “prendi quattro uccelli e falli a pezzi, poi mettine una parte su ogni monte e chiamali: verranno da te con volo veloce.
lakini ili moyo wangu utue. akamwambia: twaa ndege wane na uwazoeshe kwako, kisha uweke juu ya kila kilima sehemu, kisha wete, watakujia mbio.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: