Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
et obtuli eum discipulis tuis et non potuerunt curare eu
akasema, "mheshimiwa, mwonee huruma mwanangu kwa kuwa ana kifafa, tena anateseka sana; mara nyingi yeye huanguka motoni na majini.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et nunc domine respice in minas eorum et da servis tuis cum omni fiducia loqui verbum tuu
lakini sasa, ee bwana, angalia vitisho vyao. utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
gavisus sum valde quoniam inveni de filiis tuis ambulantes in veritate sicut mandatum accepimus a patr
nilifurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanaishi katika ukweli kama baba alivyotuamuru.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
est autem deus verax omnis autem homo mendax sicut scriptum est ut iustificeris in sermonibus tuis et vincas cum iudicari
hata kidogo! mungu hubaki mwaminifu daima, ingawaje kila binadamu ni mwongo. kama maandiko matakatifu yasemavyo: "kila usemapo, maneno yako ni ya haki; na katika hukumu, wewe hushinda."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ille respondens dixit diliges dominum deum tuum ex toto corde tuo et ex tota anima tua et ex omnibus viribus tuis et ex omni mente tua et proximum tuum sicut te ipsu
akamjibu, "mpende bwana mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et iratae sunt gentes et advenit ira tua et tempus mortuorum iudicari et reddere mercedem servis tuis prophetis et sanctis et timentibus nomen tuum pusillis et magnis et exterminandi eos qui corruperunt terra
watu wa mataifa waliwaka hasira, maana wakati wa ghadhabu yako umefika, wakati wa kuwahukumu wafu. ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako manabii, watu wako na wote wanaolitukuza jina lako, wakubwa kwa wadogo. ni wakati wa kuwaangamiza wale wanaoangamiza dunia."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting