From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
na baada ya kula chakula, nguvu zake zikamrudia. saulo alikaa siku chache pamoja na wafuasi huko damasko.
and when he had received meat, he was strengthened. then was saul certain days with the disciples which were at damascus.
kutokana na ule mwanga mkali sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika damasko.
and when i could not see for the glory of that light, being led by the hand of them that were with me, i came into damascus.
saulo alizidi kupata nguvu, na kwa jinsi alivyothibitisha wazi kwamba yesu ndiye kristo, wayahudi wa huko damasko walivurugika kabisa.
but saul increased the more in strength, and confounded the jews which dwelt at damascus, proving that this is very christ.
"kwa mujibu huohuo, nilikwenda damasko wakati mmoja, nikiwa na mamlaka na maagizo kutoka kwa makuhani wakuu.
whereupon as i went to damascus with authority and commission from the chief priests,
akaomba apatiwe barua za utambulisho kwa masunagogi ya kiyahudi kule damasko, ili akikuta huko wanaume au wanawake wanaofuata njia ya bwana, awakamate na kuwaleta yerusalemu.
and desired of him letters to damascus to the synagogues, that if he found any of this way, whether they were men or women, he might bring them bound unto jerusalem.
"basi, nilipokuwa njiani karibu kufika damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote.
and it came to pass, that, as i made my journey, and was come nigh unto damascus about noon, suddenly there shone from heaven a great light round about me.
hapo, barnaba alikuja akamchukua saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi saulo alivyomwona bwana njiani na jinsi bwana alivyoongea naye. aliwaambia pia jinsi saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule damasko.
but barnabas took him, and brought him to the apostles, and declared unto them how he had seen the lord in the way, and that he had spoken to him, and how he had preached boldly at damascus in the name of jesus.
basi, mimi nikauliza: nifanye nini bwana? naye bwana akaniambia: simama, nenda damasko na huko utaambiwa yote ambayo umepangiwa kufanya.
and i said, what shall i do, lord? and the lord said unto me, arise, and go into damascus; and there it shall be told thee of all things which are appointed for thee to do.
basi, huko damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye anania. bwana akamwambia katika maono, "anania!" anania akaitika, "niko hapa, bwana."
and there was a certain disciple at damascus, named ananias; and to him said the lord in a vision, ananias. and he said, behold, i am here, lord.