You searched for: nusu [ Turn off colors ]
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
Swahili |
English |
Info |
Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.
|
And when he had opened the seventh seal, there was silence in heaven about the space of half an hour.
|
Last Update: 2012-05-06 |
Tena akamwapia, "Chochote utakachoniomba, nitakupa: hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu."
|
And he sware unto her, Whatsoever thou shalt ask of me, I will give it thee, unto the half of my kingdom.
|
Last Update: 2012-05-06 |
Watu wa kila kabila, lugha, taifa na rangi wataziangalia maiti hizo kwa muda wa siku tatu na nusu, na hawataruhusu zizikwe.
|
And they of the people and kindreds and tongues and nations shall see their dead bodies three days and an half, and shall not suffer their dead bodies to be put in graves.
|
Last Update: 2012-05-06 |
Lakini baada ya zile siku tatu na nusu pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu iliwaingia, nao wakasimama; wote waliowaona wakaingiwa na hofu kuu.
|
And after three days and an half the Spirit of life from God entered into them, and they stood upon their feet; and great fear fell upon them which saw them.
|
Last Update: 2012-05-06 |
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, "Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne."
|
And Zacchaeus stood, and said unto the Lord; Behold, Lord, the half of my goods I give to the poor; and if I have taken any thing from any man by false accusation, I restore him fourfold.
|
Last Update: 2012-05-06 |
Lakini mama huyo akapewa mabawa mawili ya tai apate kuruka mbali sana na hilo joka, mpaka mahali, pake jangwani ambapo angehifadhiwa salama kwa muda wa miaka mitatu na nusu.
|
And to the woman were given two wings of a great eagle, that she might fly into the wilderness, into her place, where she is nourished for a time, and times, and half a time, from the face of the serpent.
|
Last Update: 2012-05-06 |
Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
|
And Jesus answering said, A certain man went down from Jerusalem to Jericho, and fell among thieves, which stripped him of his raiment, and wounded him, and departed, leaving him half dead.
|
Last Update: 2012-05-06 |
Search human translated sentences
Credits - Computer translations are provided by a combination of our statistical machine translator, Google, Systran and Worldlingo.
Help rating similar searches: utakachoniomba (Swahili - English) | angehifadhiwa (Swahili - English) | hawataruhusu (Swahili - English)
Users are now asking for help: ets (German>Danish) | christmas day (English>Tagalog) | thanks to the songs (English>Tagalog) | impulsive genorosity (English>Tagalog) | tekila (English>Tagalog) | penumbra (Spanish>Latin) | tagalog word to visayan word (English>Tagalog) | cute really (English>Spanish) | suocero (Italian>Portuguese) | tagalog of baptism (English>Tagalog) | suugestion (English>Tagalog) | saps (English>Greek) | special things (English>Tagalog) | sprinter (English>Tagalog) | she is my wife (English>Tagalog)
Report Abuse |
About MyMemory
| Contact Us
MyMemory in your language: English
| Italiano
| Español
| Français
| Deutsch
| Português
| Русский
| 日本語
| 汉语